Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Meanwhile Bongolala SGR with 102,000 tonnes annually, 50 million wataiona 2126. 😂😂
Geza Ulole na concordile 101 hii ni aibu bin aibu.

LDC ata ipakwe mafuta na lipstick kudanganya wageni, kwa data bado itanyamba uLDC tu. 😂😂

And before you say "this is the first year" Kenya SGR did 3.5 million tonnes in its first year.

View attachment 3638655

View attachment 3638656

Inaonekana hata kwenu kiingereza mmekariri. Ukiambiwa cumulative Ina maanisha Toka mmeanza huduma za sgr ndo mmefikisha hiyo 50mil tonnes.
Sasa unataka kuleta na comparison na tz ambao hizo 100,000 tonnes zilikuwa ni mizigo ya ndani bila kuwa na port link? Kumbuka mlikaaa mwaka mzima bila kutoa huduma ya mizigo mpaka mlipofanikiwa kuingiza reli bandarini , same kwa tz ambayo port link imeanza July ila kabla ya hapo ilikuwa ni loose cargo Toka kwa viwanda vya ndani.
🤣🤣🤣🤣 .
Same this tuje tufanye comparison ya December 2026 halafu tuje tu compare na nyinyi 2018 ambako kwa mwaka mzima mlisafirisha 900,000 mkiwa na link ya bandari🤣🤣🤣🤣
 
Inaonekana hata kwenu kiingereza mmekariri. Ukiambiwa cumulative Ina maanisha Toka mmeanza huduma za sgr ndo mmefikisha hiyo 50mil tonnes.
Sasa unataka kuleta na comparison na tz ambao hizo 100,000 tonnes zilikuwa ni mizigo ya ndani bila kuwa na port link? Kumbuka mlikaaa mwaka mzima bila kutoa huduma ya mizigo mpaka mlipofanikiwa kuingiza reli bandarini , same kwa tz ambayo port link imeanza July ila kabla ya hapo ilikuwa ni loose cargo Toka kwa viwanda vya ndani.
🤣🤣🤣🤣 .
Same this tuje tufanye comparison ya December 2026 halafu tuje tu compare na nyinyi 2018 ambako kwa mwaka mzima mlisafirisha 900,000 mkiwa na link ya bandari🤣🤣🤣🤣
Yenu cummulative itafika 50m 2126. Ni kingereza hujaelewa watchman?
Kenya first year 3.5 tonnes
Bongolala first year 100,000 tonnes.

That's the only data you need kueelewa. Gari Moshi Kenya is doing X30 numbers on the slowest electric railway in the world. 🤣🤣
 
Kila siku tunawaambia humu ndani kuwa hawana priorities kabisa; hawa nyangau they always place the cart ahead of the donkey in everything they do. What is needed first is to create employment and a conducive environment for business; then, as the number of employed people and businesses increases, the demand for housing and other consumer goods will increase organically.
the same way they are building a stadium that will turn to toilet after AFCON
 
Imagine pamoja na kuwa na kutokuwa na luxury apartments kama unavyosema ila watu wako willing kulipa twice the amount
People are willing to pay twice the amount because there's lack of those luxury apartments in the market (Dar). When a commodity/service is rare to find lazima ikuwe Tu expensive. In Tanzania that commodity availability is close to zero.

Kwani hii mambo ya Demand and supply huelewi?😂😂🤣
 
People are willing to pay twice the amount because there's lack of those luxury apartments in the market (Dar). When a commodity/service is rare to find lazima ikuwe Tu expensive. In Tanzania that commodity availability is close to zero.

Kwani hii mambo ya Demand and supply huelewi?😂😂🤣
Exactly. Same thing you notice in Kinshasa. Apartments are so expensive but the quality is wanting. You just pay expensively because of lack of options. In Nairobi, you're spoilt for choice.
 
Exactly. Same thing you notice in Kinshasa. Apartments are so expensive but the quality is wanting. You just pay expensively because of lack of options. In Nairobi, you're spoilt for choice.
you will be fine, take time and take a nice view from the slums
 
People are willing to pay twice the amount because there's lack of those luxury apartments in the market (Dar). When a commodity/service is rare to find lazima ikuwe Tu expensive. In Tanzania that commodity availability is close to zero.

Kwani hii mambo ya Demand and supply huelewi?😂😂🤣
And yet the value ya majengo kwa dar Iko juu kuliko Tanzania ikiwa na maana dar Ina majengo mengi au apartments nyingi sana kuliko Nairobi ( according to world bank report).
Hapo bado spending mentality ya watanzania hupenda kuishi kwenye nyumba zao wenyewe na sio apartments sababu ya privacy
 
People are willing to pay twice the amount because there's lack of those luxury apartments in the market (Dar). When a commodity/service is rare to find lazima ikuwe Tu expensive. In Tanzania that commodity availability is close to zero.

Kwani hii mambo ya Demand and supply huelewi?😂😂🤣
Buildings zenu hazina quality yoyote na ndo maana Kila siku majengo yanadondoka , 90 % ya nyumba zenu hata skimming nje hamfanyi sasa kuna quality gani?
 
Yenu cummulative itafika 50m 2126. Ni kingereza hujaelewa watchman?
Kenya first year 3.5 tonnes
Bongolala first year 100,000 tonnes.

That's the only data you need kueelewa. Gari Moshi Kenya is doing X30 numbers on the slowest electric railway in the world. 🤣🤣

Hata kwa passengers mlikuwa hivyo hivyo ila kwa sasa hata kuongea hamtaki maana monthly passengers ni ya kwenu kwa three months , Buda transhipment ndo imekamilika Dodoma haina hata mwezi, port link imekamilika July ulitaka compare kwa mzigo unaotoka wapi kwenda wapi?🤣🤣🤣🤣
 
And yet the value ya majengo kwa dar Iko juu kuliko Tanzania ikiwa na maana dar Ina majengo mengi au apartments nyingi sana kuliko Nairobi ( according to world bank report).
Yeah, according to world Bank report for 2016 released in 2017, that's 11 years ago. Mtakwamilia hiyo old report Hadi lini?😂😂🤣

Now show us what Dar has built from 2017-2026 so that we can compare with Nairobi. Kwenu kupata luxury apartments under construction is a nightmare.
 
Hapo bado spending mentality ya watanzania humpendi kuishi kwenye nyumba zao wenyewe na sio apartments sababu ya privacy
So where is the demand for luxury apartments coming from? Remember Demand only come from what you don't have. You can't tell me that demand for your own houses is so high unless hujui maana ya demand 😂😂🤣
 
Exactly. Same thing you notice in Kinshasa. Apartments are so expensive but the quality is wanting. You just pay expensively because of lack of options. In Nairobi, you're spoilt for choice.
Buda nyumba ambazo hata rangi na skimming nje hamfanyi Zina uzuri gani?
Hizo apartments usipopiga rangi tz hata wale wa uswazi hawakai?
Halafu quality ya buildings ambazo daily zinadondoka ? Ikiwa na maana ya vifaa vinachakachuliwa.
 
Buildings zenu hazina quality yoyote na ndo maana Kila siku majengo yanadondoka , 90 % ya nyumba zenu hata skimming nje hamfanyi sasa kuna quality gani?
So the topic has moved from demand to quality? What a typical Tanzanian mentality, always changes gear akishalemewa in an argument.

By the way don't expect those stand alone shacks to always fall down. Wewe ushaiskia nyumba imeporomoka kibera?😂😂
 
Back
Top Bottom