concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Meanwhile Bongolala SGR with 102,000 tonnes annually, 50 million wataiona 2126. 😂😂
Geza Ulole na concordile 101 hii ni aibu bin aibu.
LDC ata ipakwe mafuta na lipstick kudanganya wageni, kwa data bado itanyamba uLDC tu. 😂😂
And before you say "this is the first year" Kenya SGR did 3.5 million tonnes in its first year.
View attachment 3638655
View attachment 3638656
Inaonekana hata kwenu kiingereza mmekariri. Ukiambiwa cumulative Ina maanisha Toka mmeanza huduma za sgr ndo mmefikisha hiyo 50mil tonnes.
Sasa unataka kuleta na comparison na tz ambao hizo 100,000 tonnes zilikuwa ni mizigo ya ndani bila kuwa na port link? Kumbuka mlikaaa mwaka mzima bila kutoa huduma ya mizigo mpaka mlipofanikiwa kuingiza reli bandarini , same kwa tz ambayo port link imeanza July ila kabla ya hapo ilikuwa ni loose cargo Toka kwa viwanda vya ndani.
🤣🤣🤣🤣 .
Same this tuje tufanye comparison ya December 2026 halafu tuje tu compare na nyinyi 2018 ambako kwa mwaka mzima mlisafirisha 900,000 mkiwa na link ya bandari🤣🤣🤣🤣