joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Is democracy on the decline in Kenya?How do understand abt the term leading competitor?
Can Kenya compete with Tanzania in democracy?
Is democracy on the decline in Kenya?How do understand abt the term leading competitor?
acha nikachukue screenshot then niilete hapa.Naomba ifungulie uzi hii thread, tusikie wanasemaje, hawa jamaa hawana kitu zaidi ya mdomo mtupu
Is democracy on the decline in Kenya?

acha nikachukue screenshot then niilete hapa.
nimegundua siku hizi hakuna sababu ya kuanzishia thread kila kitu kuhusu kenya.
huu uzi ni mkubwa sana na unatembelewa na watu wengi kuzidi hata thread zingine.
kila kitu kinaletwa hapahapa kwenye thread yetu pendwa ili wanaotembelea wapate kusoma.
wanakasirika sana tunapoleta screenshot zinazo zungumzia issues mbaya za kwao.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Point kuu ni,kama mko wengi mnatakiwa kuchangia zaidi kinyume na hapo ni failure wala sio kusingizia uchache vinginevyo Rwanda nao wangekuwa Lower MiddleKenya imefanikiwa kuingia katika kundi la middle income mapema kutokana na udogo wa population yake ukilinganisha na nchi kama Ethiopia, japo GDP ya Ethiopia ni kubwa zaidi, hii ni kwasababu walichukua absolute number ya pato la taifa na kugawa kwa idadi ya watu, kama wangetafuta percentage ya hiyo absolute number kama numerator over GDP, msingepanda kufikia lower middle income country, the best way ni kuchukua absolute number kujua serikali ipi inafanya kazi zaidi
Poverty, extrajudicial, killings, hunger, tribalism, lack of democracy, corruption, slumsNa bado tumewachacha huko LDC. Next bad news please.
Kama ambavyo pamoja na uchache wenu lakini hamuwezi kujitosheleza kwa chakula, mnategemea kulishwa na Tanzania yenye watu wengi zaidi yenu,Point kuu ni,kama mko wengi mnatakiwa kuchangia zaidi kinyume na hapo ni failure wala sio kusingizia uchache vinginevyo Rwanda nao wangekuwa Lower Middle
Haaa! Mzee mm niko neutral ila upotoshaji ndo sikubaliani nao,afu kama kuna project au anything on our side kwa maoni yangu naona hakiko sawa siwezi kukubaliana eti kwa sababu ni cha nyumbani,let say chato airport naanzaje kuunga mkono kwamba in eco viable?unapokuwa unajadili mada katika thread hii, kamwe usijaribu kuingiza emotion za siasa za ccm na chedema.
wala usijaribu kuonyesha chuki yako kwa JPM au utawala wake, utapasuka kichwa.be neutral about politics.
hata wakenya japo wanatofauti zao za kikabila na siasa, kwenye thread hii wanajaribu kubaki katika agenda moja.
nakushauri hili baada ya kugundua kuwa kila unachokiandika na kukikosoa, kina mihemuko fulani ya uchadema ndani yake(wazee wa kukosoa kila kitu).
ni hiyari yako kuukubari ushauri wangu au kuupuza.
Tanzania kwenye barabara hakuna nchi east Africa inaikuta![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ok wamekusikiaKama ambavyo pamoja na uchache wenu lakini hamuwezi kujitosheleza kwa chakula, mnategemea kulishwa na Tanzania yenye watu wengi zaidi yenu,
Is democracy on the decline in Kenya?joke of the century... .a country
With your meagure 7600km....of one laned roads

Kama ambavyo pamoja na uchache wenu lakini hamuwezi kujitosheleza kwa chakula, mnategemea kulishwa na Tanzania yenye watu wengi zaidi yenu,

Their democracy is slightly matured than oursIs democracy on the decline in Kenya?
Can Kenya compete with Tanzania in democracy?
Umesoma hiyo report au umeamua kuwa unapinga tu?, vigezo vyote vimetumika kufikia kutoa hizo points, wewe unatumia vigezo gani na authority ipi kusema hayo?Their democracy is slightly matured than ours
Kenya's judiciary is troubled - CJ Maraga admitsTheir democracy is slightly matured than ours
Nikikuwekea 2 lanes you think like we do not have or what? Alafu hizo statistics zako ni za 1960 for your information the kilometers of trunk roads under construction right now are the half of all kilometers of Kenyajoke of the century... .a country
with a meagure 7600km of one laned roads
mwanza iko under construction na juzi nilikwenda huko na bahat nzuri ni kwetu😀😀😀😀😀Songwe na Mwanza zitaisha lini,toka enzi ya mkapa,hivyo navyo hakuna haja kama swax? Ila haja ipo chato,,turudi tu kwenye battle
You wishTanzania kwenye barabara hakuna nchi east Africa inaikuta![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
which project???? wewe unahitaji project gani???Google hamna such pictures nadhani such projects don't exist.