Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We taahira unajifanya unaijua bongo.com wewe fala. 😂😂😂 haya hii hapo, this is the most recent photo of Arusha Stadium. View attachment 3628360View attachment 3628361
Sisi tukiwa tunakosoa uwanja wao tunatumia facts na ukweli wala sio chuki, wao wanakosoa kulazimisha 1+1 iwe 11 wakati ni 2.
Imagine barabara inajengwa na picha zinapostiwa daily humu ila bado anabisha eti barabara haijengwi. 😂😂😂
 
Renovation of road under the expressway, jkia to Westlands
1000022866.jpg
 
Sisi tukiwa tunakosoa uwanja wao tunatumia facts na ukweli wala sio chuki, wao wanakosoa kulazimisha 1+1 iwe 11 wakati ni 2.
Imagine barabara inajengwa na picha zinapostiwa daily humu ila bado anabisha eti barabara haijengwi. 😂😂😂
Huyo fala analazimisha furaha. Inabishia vitu ambavyo vipo ground 😂😂😂.
Very stupid.
 
Sisi tukiwa tunakosoa uwanja wao tunatumia facts na ukweli wala sio chuki, wao wanakosoa kulazimisha 1+1 iwe 11 wakati ni 2.
Imagine barabara inajengwa na picha zinapostiwa daily humu ila bado anabisha eti barabara haijengwi. 😂😂😂

View: https://www.instagram.com/reel/DavI7lNsc5A/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=NTc4MTIwNjQ2YQ==

hawaaamini tunachofanya kule Ukunduni ni ndoto za Alinacha kufanya tunachofanya! Tena imagine Arusha hiyohiyo wameanza kujenga ukumbi wa mikutano MKICC, ukiacha jengo la Halmashauri ,upanuzi wa JKCI, ujenzi wa ukumbi wa Halmashauri, ujenzi wa Kituo cha mabasi, ujenzi wa masoko ya kisasa na upanuzi wa Arumeru Hospital!! Lazma wabishe! Huku Arusha Airport inaanza ku-operate 24 hrs non stop!
 
Back
Top Bottom