Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Plus makusanyo yote ya mapato na Mamikopo lukuki, pesa wanapeleka wapi hawa watu,
Hakika kipindi cha huyu mama we lost it off big time, watu

Ujenzi wa SGR lot 6 Tabora-Kigoma
Screenshot_20260713-153449.png
umeanza kitambo. Japo wako nyuma ya muda. Rais akienda kwenye hiyo jiwe la msingi wanaweza kutoa percentage ya mradi.. labda utakuwa kwenye 20%

Naona atazindua pia bandari kavu Kigoma na Meli mpya ziwa Tanganyika.

Screenshot_20260713-153501.png
 
Ujenzi wa SGR lot 6 Tabora-Kigoma View attachment 3628225umeanza kitambo. Japo wako nyuma ya muda. Rais akienda kwenye hiyo jiwe la msingi wanaweza kutoa percentage ya mradi.. labda utakuwa kwenye 20%

Naona atazindua pia bandari kavu Kigoma na Meli mpya ziwa Tanganyika.

View attachment 3628224
sema hii reli ndefu kinoma, yaani bora imekua ya spidi maaana kutoka dar kufika dodoma ingekua yale yale ya sku nzima
 
apa sasa ndo wamefanya la maana huo upande wote wa juu pia wa kunyonyoa, tuwe patient jaman uwanja umewekewa bandage

1783948087743.png
 
Back
Top Bottom