Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeskia kuna Stadium haina VIP seats, let alone VVIP.

Talanta Stadium with the VVIP box.

1000331112.jpg
 
Ujenzi wa SGR lot 6 Tabora-Kigoma View attachment 3628225umeanza kitambo. Japo wako nyuma ya muda. Rais akienda kwenye hiyo jiwe la msingi wanaweza kutoa percentage ya mradi.. labda utakuwa kwenye 20%

Naona atazindua pia bandari kavu Kigoma na Meli mpya ziwa Tanganyika.

View attachment 3628224
sema hii reli ndefu kinoma, yaani bora imekua ya spidi maaana kutoka dar kufika dodoma ingekua yale yale ya sku nzima
 
apa sasa ndo wamefanya la maana huo upande wote wa juu pia wa kunyonyoa, tuwe patient jaman uwanja umewekewa bandage

1783948087743.png
 
Back
Top Bottom