stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,159
- 33,641
Kwamba kenya inafaidiaka long term 🤣 🤣 , dogo hio ni money machine inatengenezwa apo, hizo hela haziwekwi apo bure, lazima ela yake irudi + forever money stream ya profits and LAZIMA u bank him his cash, kwa kifupi you will have to send the profits kwake, ingekua investor ni serikali all the profits would mean to create another project but since its personal project this is a money machine for him to invest other areas, Money moves from kenya to Tanzania forever non ending apo hujajumlisha profits za dangote za kutuma nigeria 🤣🤣we need investors ...ukiangalia long term goal ni sisi tutafaidika...ndio maana ata nyinyi mulitaka dangote ajenge uko...