Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

we need investors ...ukiangalia long term goal ni sisi tutafaidika...ndio maana ata nyinyi mulitaka dangote ajenge uko...
Kwamba kenya inafaidiaka long term 🤣 🤣 , dogo hio ni money machine inatengenezwa apo, hizo hela haziwekwi apo bure, lazima ela yake irudi + forever money stream ya profits and LAZIMA u bank him his cash, kwa kifupi you will have to send the profits kwake, ingekua investor ni serikali all the profits would mean to create another project but since its personal project this is a money machine for him to invest other areas, Money moves from kenya to Tanzania forever non ending apo hujajumlisha profits za dangote za kutuma nigeria 🤣🤣
 
Ukimpa tenda kinyozi
1783869935174.png
 
Dubwana hilo.. ***** sio kama kale ka hall ka kunya renda. View attachment 3626863View attachment 3626864View attachment 3626865
View: https://www.instagram.com/reel/Dan_Vc0uoxU/?igsh=MTVzbGp4YWJvYmp4. Nilimwambia bro Geza Ulole. Kwamba lengo la huu mradi ni kukamilika kabla ya Afcon .. wakuu wame confirm huu ukumbi utaisha mwezi wa 7 mwakani.

My thinking is that

Auditorium ya conference -5000 seats probably fixed round like building
Exhibition centre (square like building right side ) various use -10,000 seats
Hotel towers kwa nyuma 500 rooms phase 2


Good job psssf
 
Then later you complain why money is moving outside the country 🤣 🤣 the main investor anatakiwa kua serikali but for kenya the damage has already been done, apo kila mtu anakuja anajichukulia anaondoka 🤣🤣
Mbona basi mnalilia Dangote ? Si serikali ijenge hio plant ya hio level basi😅😅
 
Arusha na Kilimanjaro should be linked na SGR kutoka Makutupora pia Iringa na Mbeya via Dodoma . Hii SGR itasaidia sana kukuza uchumi na kurahisisha usafirishaji
yes sana, infact kwa mambo yanavoenda saahv hii route ya dar, dodoma , moro i think ni heri iwe njia ya usafiri kabisa, Yaani uhitaji ni mkubwa kuliko kama vile vile BRT ilivoanzaga tukawa tunajazana ndan
 
Arusha na Kilimanjaro should be linked na SGR kutoka Makutupora pia Iringa na Mbeya via Dodoma . Hii SGR itasaidia sana kukuza uchumi na kurahisisha usafirishaji
Nimewahi kuskia kuwa, mkakati wao ni kutengeneza SGR ya nothern region from Tanga to Arusha or Manyara, ili northern Tanzania ijitegemee ..
 
Back
Top Bottom