stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,082
- 33,640
sisi ndo tuliwaambia muwape kinyozi tenda za nyasi 🤣Kuna maombi nyasi isimee 😁
Hoping and praying, grass is the only hope
View attachment 3627606View attachment 3627607View attachment 3627616View attachment 3627610View attachment 3627611
View attachment 3627619View attachment 3627620
Reason, utaambiwa ni Google HQ, na M-Pesa monopoly.Unashangaa hiyo wakati mikutano ya serikali wanatumia Teams, Zoom meetings na email za serikali wanatumia Gmail.
Na utasikia wakijtapa wapo mbele kwenye teknolojia. 😂😂😂
Edited!
Huyu maza muda wote huu hizi slots hata zilikuwa hazijaanza na mikopo yote ile??🚮