Nyamwezi si unasumbuliwa kichwa na huu uwanja 🤣🤣 🤣 🤣hadi nje majani kwisha habari yake
View attachment 3627279
Ile maku ya Arusha iko hata na mini stadium? 🤣
Nyamwezi si unasumbuliwa kichwa na huu uwanja 🤣🤣 🤣 🤣
View attachment 3627285
mpaka leo bado afisa wa KRA anatuma gmail 😂Unashangaa hiyo wakati mikutano ya serikali wanatumia Teams, Zoom meetings na email za serikali wanatumia Gmail.
Na utasikia wakijtapa wapo mbele kwenye teknolojia. 😂😂😂
Umecheki hio video wamepost wenyewe😁Minyamwezi mnashinda mkileta picha za nyasi ndani ya Talanta wakati Arusha imezungukwa na barabara za vumbi in the middle of nowhere. Mitanganyika ni viumbe vya ajabu sana 😂 🤣
😂😂😂mpaka leo bado afisa wa KRA anatuma gmail 😂
Kichaka? Oya, unaongelea hii hapa vichakani ama? 🤣🤣🤣🤣kama kichaka cha vichaaa 😂
View attachment 3627295
au sio mwanaetu ujenzi hauoni unaendelea ama umependa tu kuonyesha na wewe unajua arusha stadiumKichaka? Oya, unaongelea hii hapa vichakani ama? 🤣🤣🤣🤣View attachment 3627299