Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Au hili neno majority limebadilisha maana sikuhizi.? Watu wakiamka watakujibu.. kupigizana kelele na vitu vinavyoonekana kwa macho mawili kiukweli siwezi.
Moja iliyokamilika kwenye hiyo frame hii hapa. Hesabu utuambie ni floors ngapi
1000047978 (1).jpg
 
Unajua nilipozitoa.? Niweze kuzifukua huko zilipokua nishindwe kujua progress zake.? Ulishawahi kumuona nani kapost hizo picha tofauti na mimi.?
Kuzifukua unajua lakini kuleta construction update that's where you draw the line 😄 😄 😄
 
Following Kenya, Rwanda has also changed how it imports it's petroleum THROUGH Tanzania 🤣🤣🤣

The big question is: since when did Kenya start importing petroleum THROUGH Tanganyika?
English imekupiga chenga kweli
But do you know 70 percent of your cooking gas is passing through Tanzania?
 
English imekupiga chenga kweli
But do you know 70 percent of your cooking gas is passing through Tanzania?
Is cooking gas a petroleum product?
And then unaniambia nimepigwa chenga na kizungu 😂😂😂
 
I can tell you kunyarendas wote wanaoshangilia magorofa they are not from Nairobi or any city in Kunya, them all from the villages. Watu wa mjini hawana ushamba na magorofa. 😂😂😂
Kujeni muone vile mitanganyika yanajifariji 😂😂😂
 
Is cooking gas a petroleum product?
And then unaniambia nimepigwa chenga na kizungu 😂😂😂
Ita wakenya wenzio wakusaidie kutafsiri hii statement unajidhalilisha 😅 Rwanda ndio aliedump the recent mou with you before even actualization after realizing he was about to breaking the neck in that pit!

View: https://x.com/FactsOnRwanda/status/2073076229687943203?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E2073076229687943203%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=
 
They don’t get it when we say in 5 years Westlands will be more skyscraper congested than any city in Africa … and soon a super tall ( taller than GTC) will commence making Westlands the real Manhattan of Africa. Westlands is becoming a major world class city on itself. Let’s wait for horizontal infrastructure to get finished and the final picture ( ground and sky) will be something to behold…🤪
Hapa hakuna battle ndugu yangu. Westlands alone will have more taller buildings than the whole of Tanganyika
 
Umekariri eeh.? 😂😂😂 Zanzibar inafanya vizuri ground kuliko mombasa or any other city in kenya below mombasa, just to let you know. Wanajenga kila mahali kwasasa.
😂😂
Kenya has a final solution for you.
We have the money to fund a separation. Tanganyika and Zanzibar can go their separate ways, na wengi Zanzibar are ready. And remember Zanzibar receives 3/4 of Bongolala tourists.

We don't have a similar problem in Kenya. Wale wa Mombasa was just like 50 people. 😂😂

Please behave.
 
Kuna tofauti nyingi sana kijana. First, you are posting a render. Mimi nilipost majengo ziko ground zinajengwa.

Secondly, you are posting a dwarf building (12 floors) which is a shame. All the buildings I listed under construction in Westlands are above 20 floors.

Organize yourself then come back later with concrete stuff
Hizo sio tuu ni render Bali ujenzi unaendelea
 
Hakuna .. ni renders tu … Renders are only good when it comes to them … the hypocrisy has no limits…😆
Jamaa anaenda anadownload renders za 2007 that didn't materialize anatuonyesha hapa😂😂🤣.

Sisi tukipost construction progress then attach the render to show how the project will look like wanakaa ati hawataki render😂😂🤣
 
Back
Top Bottom