kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
Hapo kwenye mbio mbona tulikubali muda mrefu ....maana mtu mwenye genes ya wizi lazma ajue mbio,huwez kua mwizi ka huwezi toka nduki..hongeren

Hapo kwenye mbio mbona tulikubali muda mrefu ....maana mtu mwenye genes ya wizi lazma ajue mbio,huwez kua mwizi ka huwezi toka nduki..hongeren

vipi leo bro hauna majibu au? leo ni emojis tu?😀😀😀nikama vyuma vimekaza😀😀😀 na vile huwa pro katika kutafta data kule Twitter
Ni left niende wapi? Hakuna cha negative hapa mm huwa napenda kinyoosha ukwelijust be free with your views, nobody is against you.
you are not the first tanzanian(imposter) to come up with negative opinions about our country, many of your type came,said the same thing and left.
Sio mtz huyo usijichoshe nae mwache apumzikeni lafudhi siyo rafudhi.
wewe ni mtanzania wa mkoa gani?. nina mashaka na elimu yako.
kinyoosha ndio nini?.Ni left niende wapi? Hakuna cha negative hapa mm huwa napenda kinyoosha ukweli
How wakati 40% are stunted?Mmmmhh.....only gets better....no wonder we are strong and healthy
KENYAN CHILDREN FED THE BEST | Knowledge Bylanes Kenya
nahisi ni mburundi huyu aliyelowea kigoma au rukwa.Sio mtz huyo usijichoshe nae mwache apumzike
Kinyoosha ukwel hahahahaaa ndio nini hicho umeandikaNi left niende wapi? Hakuna cha negative hapa mm huwa napenda kinyoosha ukweli
Mkenya huyo mrundi mbona kiswahili chao hakiendani na wakenyanahisi ni mburundi huyu aliyelowea kigoma au rukwa.
Coffee we the leading![]()
And tea as well
We are leading everywhere hakuna kitu chochote Kenya mnaweza kukifundisha Tanzania hakuna zaidi ya njaa na ukame
GDP KENYA $78 BILLIONTaja mengine hayo nimeshayapangua kwa facts mubashara
economy yao inakua kwa 4.4% 😀😀😀


nchi inakopa $750M kulipa mikopo ya nyuma unategemea nn apohehe ndio tulichotegemea kuoneshwa GDP ya mapishiGDP KENYA $78 BILLION
gdp Tanzania $47 billion. Next question.
Kavalishwe chupi.utakuwa huna Meno. au vidole vyako vinafunza.