ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
heheh mimi nilimchunguza nikawa nishajua sasa ajaribu njia nyingine hii imeshtukiwa😀😀😀😀😀*Mulio hahahaha
*Mumeanzisha uwiiiiiiiii hakuna mtz ataandika hivyo milele acha kujipendekeza nyang'au
heheh mimi nilimchunguza nikawa nishajua sasa ajaribu njia nyingine hii imeshtukiwa😀😀😀😀😀*Mulio hahahaha
*Mumeanzisha uwiiiiiiiii hakuna mtz ataandika hivyo milele acha kujipendekeza nyang'au
Anahisi anakijua kiswahili hahahahaaa kajitekenya na kucheka mwenyeweheheh mimi nilimchunguza nikawa nishajua sasa ajaribu njia nyingine hii imeshtukiwa😀😀😀😀😀
mmh haya,mistakes za kiuandishi kutokana na mother language, afu nijipendekeze ili iwaje,kuna wabongo wengi tu wenye rafudhi za kikenya mbonaheheh mimi nilimchunguza nikawa nishajua sasa ajaribu njia nyingine hii imeshtukiwa😀😀😀😀😀
Hapo kwenye mbio mbona tulikubali muda mrefu ....maana mtu mwenye genes ya wizi lazma ajue mbio,huwez kua mwizi ka huwezi toka nduki..hongerenHow we boss East Africa ....hahaha
![]()
Basi sawa endelea na kuchangia thread,ndo hivyo hivyo*Mulio hahahaha
*Mumeanzisha uwiiiiiiiii hakuna mtz ataandika hivyo milele acha kujipendekeza nyang'au
Hapo kwenye mbio mbona tulikubali muda mrefu ....maana mtu mwenye genes ya wizi lazma ajue mbio,huwez kua mwizi ka huwezi toka nduki..hongeren
wewe tafuta gear nyingine hii ime fail budaa 😀😀😀😀😀😀😀😀😀mmh haya,mistakes za kiuandishi kutokana na mother language, afu nijipendekeze ili iwaje,kuna wabongo wengi tu wenye rafudhi za kikenya mbona
Karibu wakuu Sumbawanga huku
Umbea nao ni mchezo??? Idiotna rugby ni south Africa na Kenya hapa Africa....nyinyi ni mchezo upi mnaujua kama si umbea.....? hahaha
just be free with your views, nobody is against you.Tatizo ni sipendi unafiki na kushupalia uongo ndo maana somehow na maoni tofauti na watanzania mulio wengi humu
Nyie mumeanzisha ligi hasaa yaani,mko tayari kuvimba mishipa na kujitutumua hata kama mnajua mnatetea uongo ili tu kuonyesha kwamba mambo ni poa,sasa hiyo hulka mimi siwezi
Natoa credit panapostahili na kupinga napoona sio sawa,mm sijarishi upande
Anahisi anakijua kiswahili hahahahaaa kajitekenya na kucheka mwenyewe
Nikudanganye afu nifaidike na nini,hata nikikwambia ukweli unataka wewe hainisaidi.So just believe kile unachoamini ni ukweli then tuendelee na kuchangiamm hunidanganyi labda uwafunge kamba wengine nimekujua kitambo wewe ni mkenya sasa usije jiona unaakili sana tupo wenye akili zaidi yako wewe😀😀😀😀😀😀😀😀 labda ujaribu njia nyingine hii ume fail
Yani huku mvua mpaka inakera kwa jirani hamna hata tone?? Aisee laana sio mpaka Utoke ute

Hata TZ kanda ya kati kuna hali ya jangwa pia. Sio kila sehemu inalimika chakula. Kuna zone special hasa kusini ndo zinalisha nchi nzima.yaani mmekuwa mkilala...Tanzania should be ahead of South Africa today....SA kuna mahali kumekauka sana...hawana mlima mrefu kabisa barani,...hawana pia wanyama pori kiasi mlio nao...kwa hiyo, tukubaliane tu kwa hili, watz mmekuwa mkilalia masikio yenu kwa muda mrefu sana...angalau Magu ameamsha engine ila its too late...watu kama SA wapo mbele sana hamuwez kuwafikia kamwe...Kenya pia na ukame wa kaskazini tupo mbele ynu kiuchumi
ni lafudhi siyo rafudhi.mmh haya,mistakes za kiuandishi kutokana na mother language, afu nijipendekeze ili iwaje,kuna wabongo wengi tu wenye rafudhi za kikenya mbona
Karibu wakuu Sumbawanga huku
karibu sana mkenya 😀😀😀😀😀😀Nikudanganye afu nifaidike na nini,hata nikikwambia ukweli unataka wewe hainisaidi.So just believe kile unachoamini ni ukweli then tuendelee na kuchangia