Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,676
- 107,111
Keep yapping just like the EACOP procurement process!
Standads zenu za maendeleo zipo very low.Wako wapi wale watu wa Kenya ni 1 city takes it all watuonyeshe interchange on their second biggest city?
Kenya’s newest city
Eldoret
View attachment 3620247View attachment 3620248
Na wanunuzi ni mabilionea wa South Africa na TanzaniaWenyewe ukiwakuta humu wakijisifia kampuni zinazotengeneza mapato makubwa 🤣🤣🤣 kumbe nchi sahiv tunaipiga mtungo.
15 floors building ndio unaita jengo refu? Show me any county in Kenya that is not built a 15 floor buildings.Zanzibar wameshaanza kujenga majengo marefu na wenyewe, hii inaitwa GOFU comercial tower. 15 floors.. jirani zetu north wao wangoje affordable housing projects kwenye hivyo vijiji vyao 😂😂View attachment 3620385View attachment 3620386
Arusha stadium ndio hiyo 👇🏾
View: https://vt.tiktok.com/ZSC9Ce3nm/. Wameshaanza kuweka running track.
sasa nyie mna jengo gan refu? majengo yenu yote ni antena tu kwa juu15 floors building ndio unaita jengo refu? Show me any county in Kenya that is not built a 15 floor buildings.
Siaya County is building 13 blocks of 17 floors at once, wewe unatupigia kelele za 15 floor building in entire Zanzibar.