Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KDF is the first and only military force in sub Saharan Africa to don these NATO advanced combat vests …. Recently I noticed a photo of Tanzania forces wearing the same … I wonder whether it’s original or maybe AI or even some fake Chinese imitation…🤪
This here is KDF ( with the vests)
View attachment 3617025
Your colonial mentality is so deep within you, mpaka mnatuaibisha sisi waafrika wenzenu.
 
Hiyo yako, Siyo ya Watanzania.
Wenzetu ulaya na amerika pale walipofikia kwa sababu wanakosoana na wanawajibishana panapo makosa,sasa nyie mnaoangalia interest zenu tu hata kama kuna kitu kinaenda ovyo,mnakosea sana,huo mrija wa neema uliopo usidhanie mjukuu wako nae ataunyonya,wenzetu wametengeneza nchi zao kwa ajili ya vizazi na vizazi vyao vijavyo
 
How can you sleep like that on a short journey unless that thing is sluggish and kwa emptiness hiyo na diesel ilivyo juu SGR loan itakuwa ni mzigo mkubwa sana na hasara kwendesha passenger services.
China exited funding it. Its so ugly its unfortunate the train was done as a project from high school chineese students
 
Hii inamaana gani?

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote pamoja na Ujumbe wake, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Juni, 2026.

View attachment 3617562

View attachment 3617563

View attachment 3617564

View attachment 3617567
Alisema wataalamu ndio wataamua location ya refinery sasa kaja nao pia katika ujumbe wake.
 
But our seats are more comfy for the commuter train than their intercity SGR 🤣🤣🤣
But our seats are more confy🤣🤣🤣
1782034476890.png
1782034449767.png
1782034511065.png
 
Wenzetu ulaya na amerika pale walipofikia kwa sababu wanakosoana na wanawajibishana panapo makosa,sasa nyie mnaoangalia interest zenu tu hata kuna kitu kinaenda ovyo,mnakosea sana,huo mrija wa neema uliopo usidhanie mjukuu wako nae ataunyonya,wenzetu wametengeneza nchi zao kwa ajili ya vizazi na vizazi vyao vijavyo
Acha kudanganya watu, ulaya ilijengwa kwa wizi na kutumia watumwa. Siyo kumchamba malkia Elisabeth
 
Back
Top Bottom