Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hahaha.....sahii hakuna njaa Kenya bana hadithi za last year when it failed to rain for 10 months
Hii ni Kenya MLDC, hivi huwa mnaringa kwa kitu gani? Duh this you will never find in tanzania
Duerre_Kenia_5.jpg
HUNGER-TURKANA-2.jpg


Thank God Tanzania we live large
 
Kuna mtanzania anaishi hivi?
HUNGER-TURKANA-1.jpg
Kama media si huru,
ukireport njaa unakamatwa,
uzuri ya kenya kila mtu ako na haki ya kujieleza,hapo kwenu Jounalist hawezi sema anything kuhusu nchi...nina uhakika mmeficha vitu mob sana
 
Lol.....working hard indeed
Sasa ulishasikia mtanzania anapewa subsidy kwenye unga na serikali?? Ulishasikia mtanzania anailalamikia serikali Hana unga? Indicator number one ya kufanya kazi kwa bidii ni kujitosheleza kwa chakula kabla ya mambo mengine.

Watanzania wamezalisha kupita kiasi mpaka vyakula vimeshuka bei kumbuka Tanzania population ni 53 million Kenya 45 million this means Tanzania ina largest food market compared to Kenya's hivyo bei kushuka means hard workers made it not lazy people http://www.ippmedia.com/sw/habari/bei-ya-mazao-yashuka
 
Kama media si huru,
ukireport njaa unakamatwa,
uzuri ya kenya kila mtu ako na haki ya kujieleza,hapo kwenu Jounalist hawezi sema anything kuhusu nchi...nina uhakika mmeficha vitu mob sana
Hahaha njaa unaweza ificha? Njaa ni kama pembe la ng'ombe halifichiki.
 
hahaha.....sahii hakuna njaa Kenya bana hadithi za last year when it failed to rain for 10 months
tokeni kwanza hapo kwa red color ndio mkuje tubonge issue ya food security

breaking news.
in the latest global risk map of 2018, kenya is painted with the RED color.

in the map, red color stands for high risk areas that could likely be attacked by food shortage/hunger.

7d956b63e3f83352281c4bf00859670c.jpg
04ec2d4f4a491e1e942a37ebb0f19091.jpg
 
Kama media si huru,
ukireport njaa unakamatwa,
uzuri ya kenya kila mtu ako na haki ya kujieleza,hapo kwenu Jounalist hawezi sema anything kuhusu nchi...nina uhakika mmeficha vitu mob sana
tanzania hatuna njaa that's why our country is not painted with the red color in the global risk map of 2018.

1573df1cae1da5c6374a69bc2b98f470.jpg

 
ati middle economy... middle economy my foot...ni aibu kwa middle economy kuwemo katika kundi la high risk country ambazo zitakumbwa na njaa mwaka 2018.

9d47b21f1624ee9ead0726a7979bcdd4.jpg
 
Kama media si huru,
ukireport njaa unakamatwa,
uzuri ya kenya kila mtu ako na haki ya kujieleza,hapo kwenu Jounalist hawezi sema anything kuhusu nchi...nina uhakika mmeficha vitu mob sana
Jacob Juma alipojari kutumia uhuru wa kujieleza kulitokea nini?
 
Kadoda, ichoboy, Redeemer jipeeni orgasm mkimaliza tutarudi kwenye mada...hio yenyu kama si inferiority complex sijui tutaiitaje
 
Back
Top Bottom