mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,446
- 4,951
Cape town wana shida ya maji sasa hivi, is dar better than cape town??akili zingine jamankama MLDC ni stage hii bora tubaki LDC😀😀
sijui kama vijijini watu wanaoga kweli
View attachment 675822 View attachment 675823
wakati magufuli amefungua mradi mkubwa na wakisasa wa maji unaoitwa ruvu juu ambao utasukuma maji safi na salam kwenye mkoa wa dar na pwani😀😀😀 cost yake ni over 200m usd na bado ruvu chini iko under huge maintenance
View attachment 675857 View attachment 675858 View attachment 675859 View attachment 675861 View attachment 675862 View attachment 675863 View attachment 675866View attachment 675862View attachment 675864