Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka unataka uwe na akili kuzidi wataalam wote wa Central Banks zote dunia wanaoweka Foreign Reserves.
Kwanza nikuulize maana huenda tunabisha kitu ambacho hakipo.
Unanibishia kitu gani? Tuanze kwanza hapa.

Maelezo ya Screenshot hii hapa chini unaelewa nini?
View attachment 3606284

kazi kwako

1781265588670.png


1781265609073.png
 
😎 😎 Hawajakosea because thats what the public has to know, however sio issue sana apo utaamua mwenyewe sasa kufanya research
Kwanza unanibishia kitu gani sasa maana nakuona tu una quote tu na kuweka screenshot. Sielewi hata unachotaka kueleza, nimekuuliza kazi
ya Foreign Reserves ukaleta maelezo ya Net Open Position (NOP) Limits.

Sijui hata namna ya kukusaidia. Upo na ujuaji mwingi sana. Wewe baada ya kuona transaction za ki operation kwenye Computer unadhani mauziano ya nchi na nchi yanafanya hivyo.

Kubali kuelimishwa acha kuwa rigid
 
Kwanza unanibishia kitu gani sasa maana nakuona tu una quote. Sielewi hata unachotaka kueleza, nimekuuliza kazi
ya Foreign Reserves ukaleta maelezo ya Net Open Position (NOP) Limits.

Sijui hata namna ya kukusaidia. Upo na ujuaji mwingi sana. Wewe baada ya kuona transaction za ki operation kwenye Computer unadhani mauziano ya nchi na nchi yanafanya hivyo.

Kubali kuelimishwa acha kuwa rigid
🤣 🤣 apo its upon you sasa, nenda kafanye research na pia skulazimishi kuamini, i have barely scratched the surface of how central bank works, ukirudi nyuma kabisa kuna sehem nliwaambia kina Teargass na mwaiofhawaii in few weeks time we jiandae na inflation pamoja na massive bad debts mpaka leo hawaamini how i know those things
 
Unanibishia kitu gani?, hebu eleza kwanza nikuelewe nijue namna ya kukusaidia
Akuna anaebisha ila your proposing something you want to work your way but the reality doesnt go that way, na pia mm sisemi ndo lazima uamini what i say, itadepend na wewe mwenyewe how you want to work things out! The 2 things we arent finalizing ni

1) Wewe unasema benki kuu ina akaunti federal reserve kwamba wakitaka kununua vichwa vya treni basi ndo inatumika kusettle the transaction and mm nakwambia central banks dont have accounts they just give instructions to the other central bank, apo ndo tunabishana! kuna namna unachukulia uchumi kama its something that has to work mathemetically but sasa uhalisia haupo ivo, money by itself doesnt work that wya unataka but there is some deep info you really have to know about central banks ndo ambacho nakufunza ila umegoma kabisa kuelewa
 
🤣 🤣 apo its upon you sasa, nenda kafanye research na pia skulazimishi kuamini, i have barely scratched the surface of how central bank works, ukirudi nyuma kabisa kuna sehem nliwaambia kina Teargass na mwaiofhawaii in few weeks time we jiandae na inflation pamoja na massive bad debts mpaka leo hawaamini how i know those things
Kaka wewe umejitambulisha umewahi kufanya kazi ya IT Bank. Wengine wala hatunashida ya kujitambulisha. But elimu yako ya IT usiichanganye na uchumi. Uchumi na IT ni dunia mbili tofauti sana.

Nenda kajifunze kwanza kwanini Central Banks za nchi zinafungua Nostro Accounts kwenye foreign Banks na huko ndiko zinaweka Foreign Reserves.

Mambo mengine unaleta ubishani abao hauna hata faida.
 
Akuna anaebisha ila your proposing something you want to work your way but the reality doesnt go that way, na pia mm sisemi ndo lazima uamini what i say, itadepend na wewe mwenyewe how you want to work things out! The 2 things we arent finalizing ni

1) Wewe unasema benki kuu ina akaunti federal reserve kwamba wakitaka kununua vichwa vya treni basi ndo inatumika kusettle the transaction and mm nakwambia central banks dont have accounts they just give instructions to the other central bank, apo ndo tunabishana! kuna namna unachukulia uchumi kama its something that has to work mathemetically but sasa uhalisia haupo ivo, money by itself doesnt work that wya unataka but there is some deep info you really have to know about central banks ndo ambacho nakufunza ila umegoma kabisa kuelewa
JF ni jukwaa huru siyo nyumba ya ibaada ya kuamini, na Uchumi ni reality siyo imani.
Ni kitu gani nimekiweka hapa na wewe unasema reality doesnt go that way?
 
Kaka wewe umejitambulisha umewahi kufanya kazi ya IT Bank. Wengine wala hatunashida ya kujitambulisha. But elimu yako ya IT usiichanganye na uchumi. Uchumi na IT ni dunia mbili tofauti sana.

Nenda kajifunze kwanza kwanini Central Banks za nchi zinafungua Nostro Accounts kwenye foreign Banks na huko ndiko zinaweka Foreign Reserves.

Mambo mengine unaleta ubishani abao hauna hata faida.
Mm sio mtu wa IT but i know a thing or 2 there, i based in finance however i was expecting you to react the same way because the banking system isnt understood by the public and ipo ivo maksudi
 
JF ni jukwaa huru siyo nyumba ya ibaada ya kuamini, na Uchumi ni reality siyo imani.
Ni kitu gani nimekiweka hapa na wewe unasema reality doesnt go that way?
Kama it doesnt make sense achana nayo, nlikua nakutonya tu kidogo and thats only 0.001% of what the central bank does, i have seen alot and when i say alot i truly mean alot, I know what actions central bank can take in a given condition thats why it was easy for me to predict that 8% inflation before it happend, because naelewa kinachoendelea mule ndan and its every country doing the same thing
 
Mm sio mtu wa IT but i know a thing or 2 there, i based in finance however i was expecting you to react the same way because the banking system isnt understood by the public and ipo ivo maksudi
Brother usiseme haijulikani kwenye jamii. Hicho kichaka cha kuwaona watu wengine kuwa hawajui ndio sikitaki. Maana nawewe vivyo hivyo unaonekana haujui. Kama umeshindwa tu kutofauti Net Open Position (NOP) Limits na Foreign Reserves, labda level yako ni ya chini sana ndani ya banking systems
 
Brother usiseme haijulikani kwenye jamii. Hicho kichaka cha kuwaona watu wengine kuwa hawajui ndio sikitaki. Maana nawewe vivyo hivyo unaonekana haujui. Kama umeshindwa tu kutofauti Net Open Position (NOP) Limits na Foreign Reserves, labda level yako ni ya chini sana ndani ya banking systems
Shauri yako
 
Back
Top Bottom