Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

80 percent on Kunyaland roads 😂 ndio purchasing power kubwa
20260602_182245.jpg
 
Nicxie kichaka chako nakukata huku. Hizo spaces from one seat to another hizo hapo. 👇🏾View attachment 3599672View attachment 3599673
Huyo anajifanya mwehu, space ninayozungumzia mm siyo hiyo anayosema, yeye amechukua picha ambayo seats zilikuwa zimewekwa reserve kwa ajili ya kusubiri zifungwe, eti akapost kwamba seat zimebanana. Seat gn zinawekwa vile, anafikiri sisi hatuna akili kama wao? Mm nazungumzia ile style yao ya kuweka seat vile umewahi kuona wapi duniani kama sio kwenye affordable stadium 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom