Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Talanta Stadium is stuck sioni progress yoyote recently bado wanasubiri hela toka serikalini? Arusha itaisha kabla ya Talanta japo wao walikuwa mbele kiutekelezaji.
Mimi nimeshangaa pia, wao walikua mbele ya muda lakini tuponao sawa now, na bila shaka kwa speed yetu, tutawahi kumaliza kabla yao.
 
Japo train passengers' service is not a super profitable segment ya transportaion kwa TRC lakini kwa mwendo huu na mapato yanayopatikana from passenger service TRC imeweza kuanza kujimudu kiundeshaji na hapo bado inaishia Dodoma tuu Mwanza na Kigoma ikikamilika mapato ya passengers yataongezeka 5 times na hapo bado cargo haijanza with full force.
Yanaweza hata kufika mara 10, since Kanda ya Ziwa ndipo kuna idadi kubwa ya watanzania, watu wa Kagera, Musoma, Simiyu, Geita wote watatumia SGR
 
Japo train passengers' service is not a super profitable segment ya transportaion kwa TRC lakini kwa mwendo huu na mapato yanayopatikana from passenger service TRC imeweza kuanza kujimudu kiundeshaji na hapo bado inaishia Dodoma tuu Mwanza na Kigoma ikikamilika mapato ya passengers yataongezeka 5 times na hapo bado cargo haijanza with full force.
mbna washajitoa kwenye ruzuku za serikali mda mrefu, shirika linajiendesha lenyewe
 
Back
Top Bottom