Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,905
- 9,730
Membley
Ebola imekula ubongo wako. Pole.Who is stat wire, did they bother to check the numbers for Sportpesa League teams.
Dawa 💉💉💉💉Ebola imekula ubongo wako. Pole.
Legue ya Kenya haijulikani AfricaDawa 💉💉💉💉
hio ni ligi ama ndondo, nchi haina CAT 4 stadium ata moja unaiita league?Who is stat wire, did they bother to check the numbers for Sportpesa League teams.
AFCON mlifanya nini wakati hata viwanja mlishindwa kujaza?Kuna viashiria vingi sn kuonesha nchi yenye uwezo na ile isiyo na uwezo, angalia kwenye suala la Afcon tu utagundua ni nchi gn inajiweza kati ya Tanzania na kenya, angalia kwenye michezo kwa ujumla, angalia sanaa, angalia chakula, angalia infrastructural transformation utaelewa ni nchi gn maskini zaidi kati ya hizi mbili.
i will remind you CHAN has been erased and move on, if your talking of AFCON sisi ndo tuwaulize mmefanya nn maaana its 13 years since muonekaneAFCON mlifanya nini wakati hata viwanja mlishindwa kujaza?
And which infrastructural development are you referring to?
sasa unataka kulia ama shida ni nn?Who is stat wire, did they bother to check the numbers for Sportpesa League teams.
Tanzania hakuna ushabiki, hata hio kariachoo derby bila kufungulia mbwa hawajazi uwanja.AFCON mlifanya nini wakati hata viwanja mlishindwa kujaza?
And which infrastructural development are you referring to?
Hunger inakusumbua. Imekula akili zako bwana TeargassTanzania hakuna ushabiki, hata hio kariachoo derby bila kufungulia mbwa hawajazi uwanja.
wacha wee, tell us moreTanzania hakuna ushabiki, hata hio kariachoo derby bila kufungulia mbwa hawajazi uwanja.
Move on CHAN is a stupid tournament and ishafutwa kwanza, so MOVE ONHakuna mji unaopenda mpira zaidi ya Nairobi, CHAN haikukufunza kitu.