Ujenzi wa Mount Kilimanjaro International Convention Centre (MK - ICC) Arusha anayejenga ni China Railway Construction EngineeringGroup (CRCEG)
1. Washiriki 5,000kwenye ukumbi mkuu (Plenary Hall)
2. (break-out rooms) zenye uwezo wakuhudumia washiriki kuanzia 30 hadi 500
3. Rais (Presidential suite) unaowezakuhudumia watu 300
4. (Exhibition Centre) wenye mita za mraba 20,000na uwezo wa kuhudumia washiriki wapatao 10,000 kwawakati mmoja
5. Jengo la Utawala lenye mita za mraba 2,600
6. Eneo lamaegesho ya magari lenye uwezo wa kuegesha magari2,000 kwa wakati mmoja
7. Hoteli ya Nyota Tano yenyevyumba 500 ikiwa ni pamoja na vyumba 15 vyenye hadhiya watu mashuhuri (VIPs)
8. Kazi za nje katika eneo lamradi lenye ukubwa wa mita za mraba 50,000
Tanzania oyee!! Kenya wanaumia sana