Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwan whats the problem with it?
The problem is that wakati nchi zingine zinasonga mbele kwa focusing in industrialization, nyinyi bado mnauza raw materials instead of finished products 😂😂🤣👇👇

1000282482.jpg
 
Wana uwezo mdogo wa kufikiri unaosababishwa na ukosefu wa chakula.
Badala ya kuona Tanzania ipo na mwelekeo mzuri waweze kushirikiana nayo, kwa sasa wamegeuka maadui wa Tanzania. 98% ya watu wanaoongea Negative kuhusu Tanzania ni wakenya. Wengine wamefungua accounts na kujifanya watanzania.

Tunawajua na tumeamua kuwapotezea, mwisho wa siku watachoka.
 
Badala ya kuona Tanzania ipo na mwelekeo mzuri waweze kushirikiana nayo, kwa sasa wamegeuka maadui wa Tanzania. 98% ya watu wanaoongea Negative kuhusu Tanzania ni wakenya. Wengine wamefungua accounts na kujifanya watanzania.

Tunawajua na tumeamua kuwapotezea, mwisho wa siku watachoka.
washirkiane na nani? strictly business relations mambo ya slums yabaki uko uko mathare
 
achana maneno mengi, show us any country in the region with high export numbers than tz apart from congo, unaongea ujinga kila time
Export of unprocessed raw materials?🤣🤣🤣🤣
 
Badala ya kuona Tanzania ipo na mwelekeo mzuri waweze kushirikiana nayo, kwa sasa wamegeuka maadui wa Tanzania. 98% ya watu wanaoongea Negative kuhusu Tanzania ni wakenya. Wengine wamefungua accounts na kujifanya watanzania.

Tunawajua na tumeamua kuwapotezea, mwisho wa siku watachoka.
Si unawaona hata wa humu namma wanatafuta kasoro sehemu pasipo na kasoro! 😂😂😂
Ukweli ni kwamba wanaiogopa Tanzania, ila nafurahi namna mnavyowajibu wa facts.
 
Si unawaona hata wa humu namma wanatafuta kasoro sehemu pasipo na kasoro! 😂😂😂
Ukweli ni kwamba wanaiogopa Tanzania, ila nafurahi namna mnavyowajibu wa facts.
Yaani jamaa wanalazimisha vitu vya uongo. Hata kama ukimwambia ukweli ataendelea tu ku post vitu vya uongo. 🤣🤣🤣🤣🤣Kenya ipo na hali mbaya, they know it
 
Back
Top Bottom