Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unrefined gold🤣🤣😂
Just imagine we send gold to Uganda worth of 1 billion dollars, that's directly from the local miners no foreign investor are going to Uganda for gold purification meanwhile in Tanzania we have more than 5 heavy gold refineries all overwhelmed meanwhile now we export 6 billion dollars gold 😏 no lazy bones zone like Kunyaland
 
You are importing Unrefined gold which is 95% of the total imports from Tanzania 🤣🤣😂



View: https://x.com/i/status/2058971699798815131

The major and only Kunyaland export from entirety locals
images (22).jpeg
miraa.jpg
 
Kwa mujibu wa wataalam wa Uchumi wanasema leo hii Tanzania ikifanya GDP rebase itaongezeka kwa 50% to 60%. Nigeria walifanya na uchumi wao ukaongezeka kwa 89%

Hapa tunasema hivyo kwanini:-
1. Mobile Money Ecosystem - Hii kwa kuangalia transaction zilizowekwa na TCRA unaona namna ya miamala inavyoongozeka kila kukicha. Hii huwa haiingizwi kwenye GDP ya sasa kwa sababu Base yake haikutambua haya mambo

2. TIPS & GePG - Ukiangalia malipo yote ya huduma zinazotolewa na serikali zinalipwa kwa kupitia GePG. Hii nayo ni namna ya kupata expenditure nayo inaongeza GDP

3. Masoko ya Madini - Kwa sasa zaidi ya kila eneo kuna masoko ya madini. Taarifa za wachimbaji wadogo zilikuwa haziwekwi kwenye GDP lakini kwa sasa zinapatikana.

4. AMCOS Data Aggregation: Agricultural Marketing Co-operative Societies hii imesababisha mauzo ya mazao yawe ya wazi na kuondoa walanguzi.

5. Stakabadhi Ghalani - Hii nayo ni sehemu inaongeza GDP

6. The 130% Food Self-Sufficiency Surplus - Kwa sasa Tanzania tunajitosheleza kwa chakula, na hii ni maana halisi ya per capita kubwa

7. The Short-Form Content & Media Explosion: Kwa sasa Google, Facebook, Tiktok na mitandao mingine ipo intergrated na mifumo ya TZ kwahiyo hizo views na megine vinakuwa calculated kwenye GDP

8. Bodaboda and Bajaji networks: Hii nayo ni moja ya namna GDP inaweza kuongezeka

Haya ni machache tu lakini inaelezwa kuwa Tanzania ikifanya rebase GDP itakuwa $155B na per capita itakuwa $2,200

 
Kwa mujibu wa wataalam wa Uchumi wanasema leo hii Tanzania ikifanya GDP rebase itaongezeka kwa 50% to 60%. Nigeria walifanya na uchumi wao ukaongezeka kwa 89%

Hapa tunasema hivyo kwanini:-
1. Mobile Money Ecosystem - Hii kwa kuangalia transaction zilizowekwa na TCRA unaona namna ya miamala inavyoongozeka kila kukicha. Hii huwa haiingizwi kwenye GDP ya sasa kwa sababu Base yake haikutambua haya mambo

2. TIPS & GePG - Ukiangalia malipo yote ya huduma zinazotolewa na serikali zinalipwa kwa kupitia GePG. Hii nayo ni namna ya kupata expenditure nayo inaongeza GDP

3. Masoko ya Madini - Kwa sasa zaidi ya kila eneo kuna masoko ya madini. Taarifa za wachimbaji wadogo zilikuwa haziwekwi kwenye GDP lakini kwa sasa zinapatikana.

4. AMCOS Data Aggregation: Agricultural Marketing Co-operative Societies hii imesababisha mauzo ya mazao yawe ya wazi na kuondoa walanguzi.

5. Stakabadhi Ghalani - Hii nayo ni sehemu inaongeza GDP

6. The 130% Food Self-Sufficiency Surplus - Kwa sasa Tanzania tunajitosheleza kwa chakula, na hii ni maana halisi ya per capita kubwa

7. The Short-Form Content & Media Explosion: Kwa sasa Google, Facebook, Tiktok na mitandao mingine ipo intergrated na mifumo ya TZ kwahiyo hizo views na megine vinakuwa calculated kwenye GDP

8. Bodaboda and Bajaji networks: Hii nayo ni moja ya namna GDP inaweza kuongezeka

Haya ni machache tu lakini inaelezwa kuwa Tanzania ikifanya rebase GDP itakuwa $155B na per capita itakuwa $2,200

Mfano tu mtu ananunua mahindi direct kwa wakulima songea anayasindika na kusafirisha UNGA. Kawaida wakulima hawatunzi data na Mimi msindikaji labda idadi ya viroba vya UNGA ila ni ngumu kupata hali halisi ya uzalishaji kwa Tanzania.
Vivyo hivyo kwenye mazao mengine kama Mchele.
Hata ukienda kwenye wakamua mafuta
 
Kwa mujibu wa wataalam wa Uchumi wanasema leo hii Tanzania ikifanya GDP rebase itaongezeka kwa 50% to 60%. Nigeria walifanya na uchumi wao ukaongezeka kwa 89%

Hapa tunasema hivyo kwanini:-
1. Mobile Money Ecosystem - Hii kwa kuangalia transaction zilizowekwa na TCRA unaona namna ya miamala inavyoongozeka kila kukicha. Hii huwa haiingizwi kwenye GDP ya sasa kwa sababu Base yake haikutambua haya mambo

2. TIPS & GePG - Ukiangalia malipo yote ya huduma zinazotolewa na serikali zinalipwa kwa kupitia GePG. Hii nayo ni namna ya kupata expenditure nayo inaongeza GDP

3. Masoko ya Madini - Kwa sasa zaidi ya kila eneo kuna masoko ya madini. Taarifa za wachimbaji wadogo zilikuwa haziwekwi kwenye GDP lakini kwa sasa zinapatikana.

4. AMCOS Data Aggregation: Agricultural Marketing Co-operative Societies hii imesababisha mauzo ya mazao yawe ya wazi na kuondoa walanguzi.

5. Stakabadhi Ghalani - Hii nayo ni sehemu inaongeza GDP

6. The 130% Food Self-Sufficiency Surplus - Kwa sasa Tanzania tunajitosheleza kwa chakula, na hii ni maana halisi ya per capita kubwa

7. The Short-Form Content & Media Explosion: Kwa sasa Google, Facebook, Tiktok na mitandao mingine ipo intergrated na mifumo ya TZ kwahiyo hizo views na megine vinakuwa calculated kwenye GDP

8. Bodaboda and Bajaji networks: Hii nayo ni moja ya namna GDP inaweza kuongezeka

Haya ni machache tu lakini inaelezwa kuwa Tanzania ikifanya rebase GDP itakuwa $155B na per capita itakuwa $2,200

Ruto anajua hii maneno ndio maana figisu!
 
Mfano tu mtu ananunua mahindi direct kwa wakulima songea anayasindika na kusafirisha UNGA. Kawaida wakulima hawatunzi data na Mimi msindikaji labda idadi ya viroba vya UNGA ila ni ngumu kupata hali halisi ya uzalishaji kwa Tanzania.
Vivyo hivyo kwenye mazao mengine kama Mchele.
Hata ukienda kwenye wakamua mafuta
NBS walichokifanya last rebase ni kufanya survey kwa house hold. Na zaidi sana ilifanywa kwa kutegemea mashitika ya kimataifa. Kwa sababu NBS walifanya sensa, ni muhimu sana hawa NBS wakabadili namna ya ukusanyaji wa Takwimu zao. Hao Kenya(KNBS) wanaingiza na vitu vya ajabu ajabu sana kwenye GDP yao ndio maana inaonekana ipo juu, huku maisha halisi ya mkenya yapo chini.

Statistics za GDP ni Uchumi lakini ni siasa pia. Ukiwa na GDP kubwa unakuwa na commanding power na negotiation tool. Wakenya wametumia sana hii. Lakini ukweli Tanzania leo NBS wanatakiwa walete uhalisia.

Kama tupo na 130% ya hifadhi ya chakula why GDP iwe chini?

NB: Nadhani wanasubiri SGR ianze kufanya kazi ili wawe na base nzuri ya GDP. Na huko mbeleni iwe inakuwa kwa zaidi ya 10%
 
The TZ 🇹🇿 government took it serious to ban non-high-rise buildings. In some areas, you’re required to build a minimum of 10 stories.

They’re very organized here and make sure every plot of land is put to good use.

We've alot to learn from this country 💪🏾
FB_IMG_1779781230837.jpg
 
Back
Top Bottom