Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,040
- 33,264
You are importing Unrefined gold which is 95% of the total imports from Tanzania 🤣🤣😂
View: https://x.com/i/status/2058971699798815131
Just imagine we send gold to Uganda worth of 1 billion dollars, that's directly from the local miners no foreign investor are going to Uganda for gold purification meanwhile in Tanzania we have more than 5 heavy gold refineries all overwhelmed meanwhile now we export 6 billion dollars gold 😏 no lazy bones zone like KunyalandUnrefined gold🤣🤣😂
Tena zilikua ni estimates achilia mbali zilikua fake!Anajua maana ya modelling huyo kilaza
You are importing Unrefined gold which is 95% of the total imports from Tanzania 🤣🤣😂
View: https://x.com/i/status/2058971699798815131
Wakunya bhn, ss roof inakaaje hapa 😀😀😀😀Seats installation at Wajir Stadium is nearing completion. Next is the roof.
View attachment 3594544View attachment 3594545
Mfano tu mtu ananunua mahindi direct kwa wakulima songea anayasindika na kusafirisha UNGA. Kawaida wakulima hawatunzi data na Mimi msindikaji labda idadi ya viroba vya UNGA ila ni ngumu kupata hali halisi ya uzalishaji kwa Tanzania.Kwa mujibu wa wataalam wa Uchumi wanasema leo hii Tanzania ikifanya GDP rebase itaongezeka kwa 50% to 60%. Nigeria walifanya na uchumi wao ukaongezeka kwa 89%
Hapa tunasema hivyo kwanini:-
1. Mobile Money Ecosystem - Hii kwa kuangalia transaction zilizowekwa na TCRA unaona namna ya miamala inavyoongozeka kila kukicha. Hii huwa haiingizwi kwenye GDP ya sasa kwa sababu Base yake haikutambua haya mambo
2. TIPS & GePG - Ukiangalia malipo yote ya huduma zinazotolewa na serikali zinalipwa kwa kupitia GePG. Hii nayo ni namna ya kupata expenditure nayo inaongeza GDP
3. Masoko ya Madini - Kwa sasa zaidi ya kila eneo kuna masoko ya madini. Taarifa za wachimbaji wadogo zilikuwa haziwekwi kwenye GDP lakini kwa sasa zinapatikana.
4. AMCOS Data Aggregation: Agricultural Marketing Co-operative Societies hii imesababisha mauzo ya mazao yawe ya wazi na kuondoa walanguzi.
5. Stakabadhi Ghalani - Hii nayo ni sehemu inaongeza GDP
6. The 130% Food Self-Sufficiency Surplus - Kwa sasa Tanzania tunajitosheleza kwa chakula, na hii ni maana halisi ya per capita kubwa
7. The Short-Form Content & Media Explosion: Kwa sasa Google, Facebook, Tiktok na mitandao mingine ipo intergrated na mifumo ya TZ kwahiyo hizo views na megine vinakuwa calculated kwenye GDP
8. Bodaboda and Bajaji networks: Hii nayo ni moja ya namna GDP inaweza kuongezeka
Haya ni machache tu lakini inaelezwa kuwa Tanzania ikifanya rebase GDP itakuwa $155B na per capita itakuwa $2,200
Ruto anajua hii maneno ndio maana figisu!Kwa mujibu wa wataalam wa Uchumi wanasema leo hii Tanzania ikifanya GDP rebase itaongezeka kwa 50% to 60%. Nigeria walifanya na uchumi wao ukaongezeka kwa 89%
Hapa tunasema hivyo kwanini:-
1. Mobile Money Ecosystem - Hii kwa kuangalia transaction zilizowekwa na TCRA unaona namna ya miamala inavyoongozeka kila kukicha. Hii huwa haiingizwi kwenye GDP ya sasa kwa sababu Base yake haikutambua haya mambo
2. TIPS & GePG - Ukiangalia malipo yote ya huduma zinazotolewa na serikali zinalipwa kwa kupitia GePG. Hii nayo ni namna ya kupata expenditure nayo inaongeza GDP
3. Masoko ya Madini - Kwa sasa zaidi ya kila eneo kuna masoko ya madini. Taarifa za wachimbaji wadogo zilikuwa haziwekwi kwenye GDP lakini kwa sasa zinapatikana.
4. AMCOS Data Aggregation: Agricultural Marketing Co-operative Societies hii imesababisha mauzo ya mazao yawe ya wazi na kuondoa walanguzi.
5. Stakabadhi Ghalani - Hii nayo ni sehemu inaongeza GDP
6. The 130% Food Self-Sufficiency Surplus - Kwa sasa Tanzania tunajitosheleza kwa chakula, na hii ni maana halisi ya per capita kubwa
7. The Short-Form Content & Media Explosion: Kwa sasa Google, Facebook, Tiktok na mitandao mingine ipo intergrated na mifumo ya TZ kwahiyo hizo views na megine vinakuwa calculated kwenye GDP
8. Bodaboda and Bajaji networks: Hii nayo ni moja ya namna GDP inaweza kuongezeka
Haya ni machache tu lakini inaelezwa kuwa Tanzania ikifanya rebase GDP itakuwa $155B na per capita itakuwa $2,200
Hiyo Renda iko wapi.? 🤣🤣🤣 unapata kizungu zungu.? Hii ni real sio render babu jinga. Zoea Arusha.Thanks for the render . We got a million of such renders in almost every corner of Kenya
NBS walichokifanya last rebase ni kufanya survey kwa house hold. Na zaidi sana ilifanywa kwa kutegemea mashitika ya kimataifa. Kwa sababu NBS walifanya sensa, ni muhimu sana hawa NBS wakabadili namna ya ukusanyaji wa Takwimu zao. Hao Kenya(KNBS) wanaingiza na vitu vya ajabu ajabu sana kwenye GDP yao ndio maana inaonekana ipo juu, huku maisha halisi ya mkenya yapo chini.Mfano tu mtu ananunua mahindi direct kwa wakulima songea anayasindika na kusafirisha UNGA. Kawaida wakulima hawatunzi data na Mimi msindikaji labda idadi ya viroba vya UNGA ila ni ngumu kupata hali halisi ya uzalishaji kwa Tanzania.
Vivyo hivyo kwenye mazao mengine kama Mchele.
Hata ukienda kwenye wakamua mafuta
you will understand by forceUnakuanga fala Sana, so you think that sending 1000 is 160 bob in transaction fee? How much did you send ndio ukakatwa hiyo 160😂😂
Na Watanzania wenako wanasemaje kuhusu huo Uwanja Vs Talanta? 👇🏾😂😂😂
View attachment 3595164
You are importing Unrefined gold which is 95% of the total imports from Tanzania 🤣🤣😂
View: https://x.com/i/status/2058971699798815131