Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1779636727579.png
 
Mambo yakienda kama mpango huu ulivyo maana yake hata hiyo mombasa haitajulikana tena.

Nimeona Rwanda wameamua kuhamia bandari ya Tanga completely kwa mizigo ya ya import na export. Ndio maana yule dalali Kasongo alileta hadithi ya kuunganisha Reli yao ya makaa ya mawe ifike Hadi Singida ili ku counter deal ya Tanga Port.
No please.
 
Back
Top Bottom