Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 30,918
- 33,170
Jamaa amekataa ati hiyo Stadium sio Yao sasa after kuona ziko na low quality floodlights and a Mabati roofing 😂😂🤣Deep down wanajua ni stadium low quality. 😆 😆 😆
Jamaa amekataa ati hiyo Stadium sio Yao sasa after kuona ziko na low quality floodlights and a Mabati roofing 😂😂🤣Deep down wanajua ni stadium low quality. 😆 😆 😆
I think wamerogwa na Mabati. Basi si heri wangeweka hata concrete ama matawi uko juu😂😂🤣Yani mtu wa mabati anacheka mtu wa PTFE-coated fiberglass? 😆 😆
Both belong to same class😂😂🤣Mimi kazi yangu ni kuwaumbua watu kama nyinyi ,Toka lini allianz imetumia PTFE.
🤣🤣🤣🤣Hiyo material yenyewe unaijua View attachment 3593526
Hakuna county Kunyaland yenye uwezo wa kujenga hata 10km of concrete asphalt road labda pavements. Hata Nairobi own source hawana huo uwezoThis are KENHA projects, si unaona ulivyo mjinga. Unafaa kujua in Kenya hadi an MCA pia ana projects zake za kujenga barabara. Kenya sio kama bongoslum.
Huyo anakuanga fala😂😂🤣Same family. PTFE is actually slightly higher quality than ETFE. Bozo.
Unaniuliza kama najua hiiyo material na umeiskia kwangu kwa mara ya kwanza ndio ukakimbia chatGPT? Si mmekuwa mkisema ni tarubaru? 🤣 🤣 🤣
Unadhani Kenya ni maskini like your country.Hakuna county Kunyaland yenye uwezo wa kujenga hata 10km of concrete asphalt road labda pavements. Hata Nairobi own source hawana huo uwezo
Exactly. Sasa kama wamebana seats hivyo na ndio wako na capacity ya 30k. Sasa wangeacha spaces kama za Talanta si ingekuwa na 20k seats or even less!Yani watu wanaangalia seats zimeshikana kama zile za daladala zao wanaona kabisa ni quality kuliko seats zimewekwa spaciously. 🤣 🤣
Yani talanta tikiamuwa tuweke viti za leather uwanja wote tutaweka tu bila kubadilisha capacity ya stadium.
So talanta imejengwa kwa PTFE ? Nikuumbue?Same family. PTFE is actually slightly higher quality than ETFE. Bozo.
Unaniuliza kama najua hiiyo material na umeiskia kwangu kwa mara ya kwanza ndio ukakimbia chatGPT? Si mmekuwa mkisema ni tarubaru? 🤣 🤣 🤣
Ebu rudi huko vijiweni kwako wacha kujifanya unaelewa mambo huelewi. Achia wanaoelewa wajadili.So talanta imejengwa kwa PTFE ? Nikuumbue?
Let picha za Arusha stadium zikiwa na hizo taa sio kuokota picha na kushare upuuzi wakoSijapata jibu yako bado kuhusu hizi floodlights za Arusha Stadium 😂😂🤣👇👇
View attachment 3593496View attachment 3593498View attachment 3593499
For you are information hizo zinaitwa Sportsbeams Chromabeams (LED 900 / Orbit Series) Very very expensive ndio zinatumiaka kwenye modern stadium duniani kote.Hizi ndio lightings mnatumia in Arusha Stadium. It's inferior to Talanta's floodlights 😂😂👇👇
View attachment 3593268
Kaka Taa alizoweka anajiabisha tu hizo ni Sportsbeams Chromabeams (LED 900 / Orbit Series) modern kabisa kenya hawana uwezo wa kuzinunua.Sisi ni wajuzi wa haya mambo usitake comparison, sisi ligi yetu siku zote inachezwa usiku, tena mwanga wa viwango. Nyie ligi yenu haichezwi usiku, nyie bado wageni kwenye hizi mambo that's y mmewekewa koroboi.
Stadiums zote hizo na bado mkaenda kuchezea match malawi na uganda!Every county in Kenya either have a stadium or is in the process of finishing the construction. That can't be said of Tanzania where people play in the grazing fields in the name of Stadiums 😂😂🤣😂
Unazungumzia hiyo affordable stadium.? 😂😂😂Exactly. Sasa kama wamebana seats hivyo na ndio wako na capacity ya 30k. Sasa wangeacha spaces kama za Talanta si ingekuwa na 20k seats or even less!
Alafu ndio wanaona seats zao ni quality sana na hiyo kubanana yote