Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dangote amesema crude oil will be brought by ship. Mbona mnataka kupangia Dangote vile atatumia pesa zake?😂😂🤣
Mafuta ya mfaransa ndio mnayapangia matumizi namna hiyo au mna mafuta mengine? 😂😂 Mfaransa aliechimba na kujenga pipeline alikua anamsubiria dangote? 🤔 Kati ya Dangote na total energies yupi anasound refinery? 😂😂
 
sawa ngoja tuone kuna sababu Samia akamuuliza Ruto mbona ana-discuss kujenga refinery Tanga bila ya yeye kuwa na taarifa?
We mzee, you are still optimistic on your favorite low iq school dropout crook, hakuna kitu anajua, kama aliweza kusema bei ya 1L gas Us ni dola 800 unadhani kuna nini hapo,?
Just a wastage of time, infact kama nchi tumepoteza Miaka karibu 9 ya progress.
We’d anticipate some proactiveness on such massive investments ,
Inafika hatua watu wanakaa na mwekezaji wanjadili hadi kuamua kiwekeza kwenye nchi yako and you are not aware ?
We are not in position to afford losing such huge investments, kupoteza dili la dola karibu $10b ni hasara kubwa Sana, Ajira nyingi sana na pesa nyingi tunapishana nazo sababu ya kuwa na viongozi vilaza despite ya kuwa we are at the advantage,
Unless kuna watu wako serious hapo ikulu otherwise we are losing this one na inauma.
 
Tanga hata haina infrastructure to handle a 650bpd refinery. That's a very massive project, that needs a lot of supporting infrastructure in place.
Tanga has all the basic infrastructure on place.
Roads, Railways, plus the EACOP,
Plus Tanzania has financial Muscles to expansion and Modernize Tanga port and build the SGR lines to Uganda and Kenya Boarders.
Kenya doesn’t.
 
Tanga has all the basic infrastructure on place.
Roads, Railways, plus the EACOP,
Plus Tanzania has financial Muscles to expansion and Modernize Tanga port and build the SGR lines to Uganda and Kenya Boarders.
Kenya doesn’t.
650 BPD in a small village like Tanga hahaha wewe unaota. Kenya doesn't and yet Dangote prefers Mombasa over Tanga.
 
Kwa hivyo EACOP walikua warefine 650 bpd? Wacha kuota we mzee.
Oil Refinery is a complicated business venture . Hata the mighty United States has problems with it . Tanga has no capacity to support a refinery unless they upgrade infrastructure. It would take 10 years or more. Dangote is a business man not a charitable organization…😆😆
 
Back
Top Bottom