Hapana huu ni mchezo wa media za Kenya usisahau kilichotokea kabla ya EACOP! Ukisoma hii ripoti jaribu kuangalia inajaribu kufanya nn! Samia anapaswa kuunda timu nzuri kuhakikisha refinery inabaki Tanga! Kumbuka refinery Tanga itauza pia mafuta Zambia na kuendelea maana TAZAMA pipeline inasafirisha refined products! Samia anapaswa kucheza na Total, Museveni na Dangote pamoja na Kenya iwekwe pembeni kama Magufuli alipowazuia kwenye kuamua EACOP route! Dangote anapaswa kuwa amealikwa tayari kwa mazungumzo! Pia Rostam anapaswa kutumiwa!