President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 33,985
- 93,327
Ku konnect hakuna shida tutaweka high standards za emission watachomoa tu wenyewe 😁ruto anataka kucheza faulo anataka aconnect sgr yao ije kwetu
we zezeta umetokea wapi huku? umepotea njia?Kwani pesa zako
sasa inaunganika vp moshi na umeme, ingekua tz na uganda apo sawa
View: https://youtu.be/W_BB0sLWZdo
Hapa ni airport gani?
Can't you see Lamu Port inanyang'anya Dar is slum port biashara?🤣🤣🤣😂👇👇
View: https://x.com/i/status/2052448346577526801
hiyo namba 4 mbona inaepukika treni za Ukunduni zitabeba 25 tons maximum!Analilia link Singida ili apate access ya Rwandam Burundi and DRC 🤣🤣🤣hata hivyo kuunganisha hizi reli mbili ni kazi sana
1. Mifumo ya nishati ni tofauti umeme vs Diesel
2. mifumo ya control ETCS European Train Control System vs chinese
3. continuous welded vs jointed
4. design specification ni tofauti Tz 35 tons per axle while kenya 25 tons per axle
Sasa train ya SGR ya Tanzania ikiwa loaded ikienda Kenya itavunjavunja barabara yote ya reli in short hakuna muunganiko wa reli hapa too many deviation on specs
Za kwetu sasa ndio zitashindwa kupita njia za Kenya maana ni heavy sanahiyo namba 4 mbona inaepukika treni za Ukunduni zitabeba 25 tons maximum!
ndio constrain zake ili watumie wao na sisi tushindwe!Za kwetu sasa ndio zitashindwa kupita njia za Kenya maana ni heavy sana
Kaka siyo Airport ni SGR StationHapa ni airport gani?
Train Stations zetu zina hadhi ya AirportKaka siyo Airport ni SGR Station
How am I supposed to know him?
Sasa kama last floor ipo 158m how does it become taller than GTC which is 184m?Sasa tumekwambia last floor ipo 158M unabisha, tumekuletea architect ashakwambia the tallest floor ipo sinza bado unabisha, kama sio kua slut ni nn?
huu muunganiko wa reli sielewi unaendaje labda kama ni oil ila kama ni kushare bandari hilo hapana, aua unasemaje TeargassAnalilia link Singida ili apate access ya Rwanda Burundi and DRC 🤣🤣🤣hata hivyo kuunganisha hizi reli mbili ni kazi sana
1. Mifumo ya nishati ni tofauti umeme vs Diesel
2. mifumo ya control ETCS European Train Control System vs chinese
3. continuous welded vs jointed
4. design specification ni tofauti Tz 35 tons per axle while kenya 25 tons per axle
Sasa train ya SGR ya Tanzania ikiwa loaded ikienda Kenya itavunjavunja barabara yote ya reli in short hakuna muunganiko wa reli hapa too many deviation on specs
kuna watu wamejenga boxi, naskia wanasema ni one among best stadiums in africa
View: https://x.com/AfricaFirsts/status/2052680090861908121?s=20