babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 13,302
- 35,725
Na huwezi kuona hata waki jadili. πππUbaya ni kwamba na hizo wanazoigiza wanaongezea kwenye takwimu zao. πππ very stupid people.
Na huwezi kuona hata waki jadili. πππUbaya ni kwamba na hizo wanazoigiza wanaongezea kwenye takwimu zao. πππ very stupid people.
Wanajadili huko kwao, mbele za watu hawakanushi ili kujipa umuhimu. πππ kujipa ukubwa wa maneno tunaita.Na huwezi kuona hata waki jadili. πππ
Anaefanya vizuri ground ninTzπππ€£ππUkitaka kulia ulie tu, me sina huruma. πππ. Budget kubwa lakini anaefanya vizuri ground ni Tz. Kwahyo ni upumbavu tu.
Hii hawawezi kupost maana ni uwekezaji wa Mtanzania. πππ
View: https://x.com/moneyacademyke/status/2051874597964804338?s=46
Ukipata nafuu let me know niendee kukupiga spana hadi utokwe na akili. ππ
Ndio maana Ruto anatakiwa ashinde uchaguzi awamu ya pili ili Matajiri wa bongo waendelee kuwanyoosha.Wasipoleta zengwe wakaruhusu watanzania wawekeze huko kwao, bidhaa za Tz zinatawala kunya mzima.
Anaefanya vizuri ground ni Tzπ€£π€£πππUkipata nafuu let me know niendee kukupiga spana hadi utokwe na akili. ππ
Ndio maana wanamkataa.? πππ. Sasa huko kwao matajiri hakuna. Wanategemea mazungu tu.Ndio maana Ruto anatakiwa ashinde uchaguzi awamu ya pili ili Matajiri wa bongo waendelee kuwanyoosha.
Unaniogopa sana. ππ
According to our dear baboon aka Traveller D, anaefanya vizuri kwa ground ni Tz.
ππππ
View: https://x.com/i/status/2050545128150888948
Anaefanya vizuri kwa ground ni Tz πππ€£ππUnaniogopa sana. ππ
Ngoja nikuelimishe. Tz ni kubwa jaribu mara mbili ya ukubwa wa kitaifa chenu kunya. Haiwezi kuwa na barabara za lami kila kona. Kwahilo wala usetegemee kuliona. Ila ukweli haubadilishwi kwa makasiriko yako. Tz ni leader.. we kama utaamua kulia lia tu sina cha kukusaidia. πππ
Anaefanya vizuri kwa ground ni Tz πππ€£ππ
View: https://x.com/i/status/2046228067966763060
Vs
View attachment 3584582
Ndio maana hawampendi kazi ni kumletea ukabila kwa sababu hatokei βMurimaβ! πππNdio maana wanamkataa.? πππ. Sasa huko kwao matajiri hakuna. Wanategemea mazungu tu.
So nilie kwa sababu Tz only have 15,000km of paved roads while Kenya has 25,000km?π€£ππ€£.We lia tu me sina msaada. ππ
Mazuzu hayana pesa sasa yanatumia visa πππNdio maana hawampendi kazi ni kumletea ukabila kwa sababu hatokei βMurimaβ! πππ