Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani it has been in Kenya for roughly eight years and it already has 9 branches wakati Uganda imekuwepo for 21 years na ndio wako na 11 branches! When we tell minyamwezi nani ndio kusema ukanda huu wanaona ni mzaha
KFCs na takataka zingine ndio maana ya middle class.? 😂😂😂 kuku za 10k Tzs ndio ziwezane na samaki mihogo za 40k - 50k.? Basi wazee mnayo safari ndeefu sana.
 
Another episode ya GDP ya makaratasi. This is a Kenyan brand with 44 chain of stores countrywide.

images (28).jpeg
 
Shida ni kwamba tunapigizana kelele na wapumbavu wanaotoka kwenye mapori huko kwao, automatically hao watu ni washamba, kwahiyo akisikia suala la mihogo anavutia taswira mihogo michungu ya kuchemsha kule kijijini kwao.. 😂😂
Wanajikuta ni wazungu kumbe ni nywele ngumu, hawa nao ukoloni uliwapenya kweli kweli. 😂😂😂
 
We are very different. Hizi restaurants za hivi zipo kama zote all around Tz n it’s not necessary for a single brand to own many outlets bcz people have money in Tz. Watu watu wa kawaida tu wana brands zao. Tz ni kama China tu mifumo yetu ya kiuchumi.. vibepari uchwara vinafosi tufanane. 😂😂😂. Hii menu pekee ni 300,000 Tzs. 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/C8jD_GGtWXu/?igsh=bzU5eW91bDVpZWQ0. Huku hakuna monopoly wazee.. ndio vi brand ucharwa haviji huku vitajifia zake bure.
 
We are very different. Hizi restaurants za hivi zipo kama zote all around Tz n it’s necessary for a single to own many outlets bcz people have money Tz. Watu watu wa kawaida tu wana brands zao. Tz ni kama China tu mifumo yetu ya kiuchumi.. vibepari uchwara vinafosi tufanane. 😂😂😂. Hii menu pekee ni 300,000 Tzs. 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/C8jD_GGtWXu/?igsh=bzU5eW91bDVpZWQ0. Huku hakuna monopoly wazee.. ndio vi brand ucharwa haviji huku vitajifia zake bure.

Wewe zako ni hizi, low quality rice, Mirinda ya 300ml na nyama quarter😂😂🤣.

Na ujifunze mambo ya usafi🤣🤣

1000259999.jpg
 
Back
Top Bottom