concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Shida yenu mnajifanyanga wajuaji Sana.
This is the recently released ESIA for SGR phase 2B to Kisumu. I have circled where there's an option for electrification.
View attachment 3581694
Hapa mada kuu ni kuwa mnajenga sgr itakayotumia diesel tu, hizo condition zote hapo ni sawa na phase 1 ya kutoka Mombasa mpaka Nairobi .
Kuacha sehemu ya kuweka poles tu za umeme hata phase 1 ipo.
Tukija kwenye electrification mahitaji maeneo ya kuweka power station ( kwenye ESIA yenu hakuna)
Mahitaji ni form of signalling siyo hiyo mlivyoweka hapo nayo no costfull bado.
Inshort mnajenga ileile sgr with same characteristics za Nairobi Mombasa, hakuna jipya.
Na hata mkiweka umeme itabidi muingie gharama ya kupunguza curves na kui weld hiyo sgr yenu ili muweze kwendana na speed ya tz.
Kwa characteristics hizo hapo hata mkiweka umeme Leo hamtaweza kutembea speed ya 174 au 160km/hr kama ya tz.
Difference ya ESIA yetu na yenu inuonesha mkandarasi na anajulikana , yenu imeandaliwa na NEMA kuwapa matumaini wakenya kuwa kazi itafanyika🤣🤣🤣