concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Sisi tungekomaa sana na agriculture, laiti tungepambana tukawa wazalishaji wakubwa macadamia , ngano ,Mchele, soya, na ufugaji hasa kwa ajili ya exports tunaweza piga gap sana. Kilimo ndo kinaleta multiplier effect kwenye jamii. Ukiwa na wakulima wilaya moja wenye uwezo kuzalisha Tani 50,000 za korosho kwa mwaka, tegemea hiyo wilaya kuwepo na gest, bar na movement kibao za kiuchumi kuliko hata gas.apo bado sector zingine, music, sports, transport, agriculture, industries ETC yaani ni kilio juu ya shida
Mozambique Wana gas ipo Palma ,ila Palma hakuna wakazi hata kidogo .
Wafanyakazi wanabebwa kwa ndege mpaka site na kurudishwa kwa ndege