Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

apo bado sector zingine, music, sports, transport, agriculture, industries ETC yaani ni kilio juu ya shida
Sisi tungekomaa sana na agriculture, laiti tungepambana tukawa wazalishaji wakubwa macadamia , ngano ,Mchele, soya, na ufugaji hasa kwa ajili ya exports tunaweza piga gap sana. Kilimo ndo kinaleta multiplier effect kwenye jamii. Ukiwa na wakulima wilaya moja wenye uwezo kuzalisha Tani 50,000 za korosho kwa mwaka, tegemea hiyo wilaya kuwepo na gest, bar na movement kibao za kiuchumi kuliko hata gas.
Mozambique Wana gas ipo Palma ,ila Palma hakuna wakazi hata kidogo .
Wafanyakazi wanabebwa kwa ndege mpaka site na kurudishwa kwa ndege
 
Sisi tungekomaa sana na agriculture, laiti tungepambana tukawa wazalishaji wakubwa macadamia , ngano ,Mchele, soya, na ufugaji hasa kwa ajili ya exports tunaweza piga gap sana. Kilimo ndo kinaleta multiplier effect kwenye jamii. Ukiwa na wakulima wilaya moja wenye uwezo kuzalisha Tani 50,000 za korosho kwa mwaka, tegemea hiyo wilaya kuwepo na gest, bar na movement kibao za kiuchumi kuliko hata gas.
Mozambique Wana gas ipo Palma ,ila Palma hakuna wakazi hata kidogo .
Wafanyakazi wanabebwa kwa ndege mpaka site na kurudishwa kwa ndege
Kaka, kwenye uchumi kila kitu kinafanywa kama kinaleta faida. Kilimo tutafanya na gas tutafanya. Vyote ni vetu kaka.
 
No way kaka. Uganda!!! Tanzania is the Logistic Hub in the region. Bado hujaongelea madini.
Kwenye uchimbaji wa Uranium pekee tunategemea kupata dola bilioni 1.45 kuanzia mwaka 2029 kila mwaka.
Bado kuna uvuvi, Bado kuna viwanda vinajengwa kaka, kaka, kaka nakuita mara tatu.

Bado bandari zetu hujaziweka. Huyu uganda atatokea wapi?

Kwanza siamini kwa sasa gdp ya Tanzania kama Ina uhalisia .
Mfano kabla ya korosho,mbaazi na ufuta kuanza kuuzwa gharani ilikuwa nadra kupata data za exports wakati uhalisia korosho ilikuwa inatoka sana .
Kwa sasa ukitafuta exports za avocado kwenda Kenya utaambiwa Tani 40 kwa mwaka ,ila ukienda namanga Kila siku kuna masemi ya kufa mtu yanavuka.
Uhalisia wa data hauendani na mtaa. Hakuna mtu anayefnya survey au census ya production ya vitu kama mazao na kadhalika.
Hata idadi ya nyumba kwa mwaka ni ngumu kuzipata ,
Reports kwa bongo Inaweza ikawa 10% ya uhalisia wa mtaani
 
Kaka, kwenye uchumi kila kitu kinafanywa kama kinaleta faida. Kilimo tutafanya na gas tutafanya. Vyote ni vetu kaka.
Ndio uko sawa ila nazungumzia vile vitu vyenye multiplier effect kubwa kwa jamii. Kilimo ni Kila kitu, madini vitu vingine havina uwezo wa kupunguza unemployment hata kwa 30% ila kilimo kinaweza.
 
No way kaka. Uganda!!! Tanzania is the Logistic Hub in the region. Bado hujaongelea madini.
Kwenye uchimbaji wa Uranium pekee tunategemea kupata dola bilioni 1.45 kuanzia mwaka 2029 kila mwaka.
Bado kuna uvuvi, Bado kuna viwanda vinajengwa kaka, kaka, kaka nakuita mara tatu.

Bado bandari zetu hujaziweka. Huyu uganda atatokea wapi?
Oil business ni kubwa, some countries GDP nzima ni oil mfano Dubai, Iran
 
Sisi tungekomaa sana na agriculture, laiti tungepambana tukawa wazalishaji wakubwa macadamia , ngano ,Mchele, soya, na ufugaji hasa kwa ajili ya exports tunaweza piga gap sana. Kilimo ndo kinaleta multiplier effect kwenye jamii. Ukiwa na wakulima wilaya moja wenye uwezo kuzalisha Tani 50,000 za korosho kwa mwaka, tegemea hiyo wilaya kuwepo na gest, bar na movement kibao za kiuchumi kuliko hata gas.
Mozambique Wana gas ipo Palma ,ila Palma hakuna wakazi hata kidogo .
Wafanyakazi wanabebwa kwa ndege mpaka site na kurudishwa kwa ndege
sahihi kabisa, alafu uzuri wa kilimo ata GDP ikikua unajua kabisa ni ela wa wananchi sio unakuta nchii GDP nzima watu 15
 
Kwanza siamini kwa sasa gdp ya Tanzania kama Ina uhalisia .
Mfano kabla ya korosho,mbaazi na ufuta kuanza kuuzwa gharani ilikuwa nadra kupata data za exports wakati uhalisia korosho ilikuwa inatoka sana .
Kwa sasa ukitafuta exports za avocado kwenda Kenya utaambiwa Tani 40 kwa mwaka ,ila ukienda namanga Kila siku kuna masemi ya kufa mtu yanavuka.
Uhalisia wa data hauendani na mtaa. Hakuna mtu anayefnya survey au census ya production ya vitu kama mazao na kadhalika.
Hata idadi ya nyumba kwa mwaka ni ngumu kuzipata ,
Reports kwa bongo Inaweza ikawa 10% ya uhalisia wa mtaani
numbers sio issue sana cha muhimu ela itufikie, hatutaki maisha ya GDP kubwa alafu unakaa kwenye mabati
 
eti mnasemaje Teargass Nicxie nairobae goti mnapiga hampigi
1777292889966.png
 
Back
Top Bottom