stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,319
- 33,837
NO wonder the stadium costs $1B, wangekaza kidogo ingefika $2B because vijana wa nchi wenyewe mafala hivi hawajui siybox ni nnYeah, hiyo ndio Skybox inaumiza kichaa ya watanzania.
NO wonder the stadium costs $1B, wangekaza kidogo ingefika $2B because vijana wa nchi wenyewe mafala hivi hawajui siybox ni nnYeah, hiyo ndio Skybox inaumiza kichaa ya watanzania.
ndio maana yake! soma ujumbe wa Museveni hapo chini kwenye banter , the puppies r Tanzania and Kenya! Kuna sababu kwann natumia picha yake1 THE GUY IS STRATEGIST! Kenya has played Uganda dirty for years and he will not allow them control that oil! Juzi alikuja Tanzania akasaini makubaliano na mama, umejiuliza since them ma-deal mangapi Kenya imeingia king in advantage of Uganda? Hiyo ni Kneejerk reaction? Imeuza pipeline, imesaini ujenzi wa Naivasha-Malaba, kabla ya ku-flex muscles na kuenda Mozambique na kusaini LNG supply deal wakati Rostam ana mpango wa ku-extend gas pipeline kutoka Dar mpaka Mombasa na sasa Ruto anaongelea ujenzi wa refinery Tanga na si Mombasa, ni ameshikwa kende hana ujanja na inabidi a-play along! Ukimjua Mchawi wako hakupi shida, tanzania wala haija-respond, kuna kitu kinapikwa!ulipost 10 years back
![]()
The Democratic Republic of Congo is looking in to join the Uganda – Tanzania oil pipeline according to Tanzania’s Minister for Energy and Minerals, Prof Sospter Muhongo reports Daily News.
The Minister said that he will be meeting with Congo counter parts to discuss how the mineral rich country can get involved in the project. He added that Burundi and South Sudan are also expected to use the pipeline.
“The pipeline would be useful in the course of transporting oil from Lake Tanganyika if the search for oil...
- Geza Ulole
- Replies: 290
- Forum: Kenyan News and Politics
ndio maana yake! soma ujumbe wa Museveni hapo chini kwenye banter , the puppies r Tanzania and Kenya! Kuna sababu kwann natumia picha yake1 THE GUY IS STRATEGIST! Kenya has played Uganda dirty for years and he will not allow them control that oil! Juzi alikuja Tanzania akasaini makubaliano na mama, umejiuliza since them ma-deal mangapi Kenya imeingia king in advantage of Uganda? Hiyo ni Kneejerk reaction? Imeuza pipeline, imesaini ujenzi wa Naivasha-Malaba, kabla ya ku-flex muscles na kuenda Mozambique na kusaini LNG supply deal wakati Rostam ana mpango wa ku-extend gas pipeline kutoka Dar mpaka Mombasa na sasa Ruto anaongelea ujenzi wa refinery Tanga na si Mombasa, ni ameshikwa kende hana ujanja na inabidi a-play along! Ukimjua Mchawi wako hakupi shida, tanzania wala haija-respond, kuna kitu kinapikwa!
View: https://youtu.be/brrauuTUdSg?si=RPpRYPXsYWIN_xyZ
View: https://x.com/AfricaViewFacts/status/2048256008154140744
jamaa wana roho mbaya! Ila uzuri huwa wanaangukia pua! Rostam si mjinga kuweka mitambo yake pale! Naamini atakuwa wa kwanza kuanza kujenga gas pipeline kabla ya hata huo mpango wa Mozambique kufanikiwa1hio gas hopefully itapitia njia ya india ndo irudi mombasa because lazima tule ela apo