Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,682
- 107,122
We fala hio sio skybox inaitwa LOUNGE, skybox ni hiviBongolala, wacha kuanika upumbuvu wako hadharani. That's not a skybox. Skyboxes have features and that picture does not have even a single feature of a skybox.
Eti skybox ina nguzo? Look at the Allianz Arena skyboxes View attachment 3578323View attachment 3578324View attachment 3578325
The Nyamwezi is even calling this one a skybox 😂😂😂
The desperation is real View attachment 3578328
My Take
Hili halitafaulu litaishia kuwa stori.
Maamuzi kama haya ndio yalimpa Magufuli point 3 muhimu hapo asingewasubiria kina Kenya na Uganda ambao wanaona refinery ya Dangote kama mshindani Kwa Mafuta yao.
Angemtafuta Dangote na kukubaliana waanze ujenzi mara Moja,hao wakitaka watajiunga baadae 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DXgZ8eaiJXe/?igsh=MWExdmJjeG5ub2Q3cQ==
Hawa wa saizi watakuwa na vikao visivyoisha.
Kwa hiyo tutasubiria kina Kenya na Uganda Masharti Yao ndio kiwanda kijengwe?Dangote wazo lake mwanzo ilikua kenya but you know how it went, watu walitaka pasu
The same way alivotaka kufungua kiwanda cha cement kenye mwishowe akajenga Ethiopia
wakati walikua wanasema diesel is the way to go 🤣How can this be possible?
A Chinese railways, owned and operated by Chinese and the to be electricfied by Turkish?
Hii ni mambo ya uongo ya Kasongo
No hujaelewa hio concept, anachotaka ni nchi zote 3 ziungane kwa sababu, Uganda tayar wana bomba refu la mafuta kwenda Tanga, so it makes sense to build a refinery there kwa sababu tayar bomba la mafuta machafu lipoalafu linaenda Tanga(Bandarini) means nchi yoyote inaotaka mafuta wanaweza kwenda tu bandari ya TangaKwa hiyo tutasubiria kina Kenya na Uganda Masharti Yao ndio kiwanda kijengwe?
wanaaanza kulipa around decemberWanajenga Talanta stadium US$ 1.4 bln!
🤣🤣 wanaitwa viongozi wa kunguni Afrika
No hujaelewa hio concept, anachotaka ni nchi zote 3 ziungane kwa sababu, Uganda tayar wana bomba refu la mafuta kwenda Tanga, so it makes sense to build a refinery there kwa sababu tayar bomba la mafuta machafu lipoalafu linaenda Tanga(Bandarini) means nchi yoyote inaotaka mafuta wanaweza kwenda tu bandari ya Tanga
So this means, Congo, Uganda, Turkana wote watapump mafuta machafu kuja Tanga(Refinery) alafu kutakua na bomba fupi la kwenda mombasa(Refined oil) alafu kenya na Uganda tayar wana pipeline yao ya mda ya mafuta masafi
Uganda Wana ratiba ya kujenga refinery kule kwao, Kundustan wanataka wajenge Bomba la Mafuta safi kutoka Mombasa,Nairobi,Eldoreti,Kampala Hadi Kigali.No hujaelewa hio concept, anachotaka ni nchi zote 3 ziungane kwa sababu, Uganda tayar wana bomba refu la mafuta kwenda Tanga, so it makes sense to build a refinery there kwa sababu tayar bomba la mafuta machafu lipoalafu linaenda Tanga(Bandarini) means nchi yoyote inaotaka mafuta wanaweza kwenda tu bandari ya Tanga
So this means, Congo, Uganda, Turkana wote watapump mafuta machafu kuja Tanga(Refinery) alafu kutakua na bomba fupi la kwenda mombasa(Refined oil) alafu kenya na Uganda tayar wana pipeline yao ya mda ya mafuta masafi
Msalato international airport. Dodoma inapaa, kuna vimji uko kundustan vilikua majiji eti even before Dom lakini kwasasa Dom imeviacha mbali hivyo vimji. 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DXgQxY4jNRg/?igsh=Z3NiZjAyYzV2dzht.
A refinery is mostly unprofitable kama hauuzi mafuta nje, infact kenya walikua na yao waliifunga nadhan 2003, ni biashara moja kichaa ndo maaana watu wanaikwepa!Uganda Wana ratiba ya kujenga refinery kule kwao, Kundustan wanataka wajenge Bomba la Mafuta safi kutoka Mombasa,Nairobi,Eldoreti,Kampala Hadi Kigali.
Unadhani watakuwa na hamu na kiwanda Cha Dangote wakati itawapa ushindani kibiashara?
Tanzania hatuhitaji kusubiria hao ,tujenge Kwa Kushirikiana na Dangote tunatumia Mafuta ya Uganda,South Sudani na Arabuni kwenye hiyo refinery.
Hujaelewa nini? Kuna haja ya kuwasubiria hao nilikwambia Wana mipango Yao? Zambia wanajenga Yao for domestic demand mbona?A refinery is mostly unprofitable kama hauuzi mafuta nje, infact kenya walikua na yao waliifunga nadhan 2003, ni biashara moja kichaa ndo maaana watu wanaikwepa!
Refinery ya Tanga makes more sense because ships can dock pale kama hormuz wanavofanya na unaweza kuuza kwa watu wengi zaidi, Hata ivo Uganda anaweza kuuza kwa nchi za juu yake zote ethiopia, chad, djibouti etc sudan
Msalato international airport. Dodoma inapaa, kuna vimji uko kundustan vilikua majiji eti even before Dom lakini kwasasa Dom imeviacha mbali hivyo vimji. 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DXgQxY4jNRg/?igsh=Z3NiZjAyYzV2dzht.
it doesnt matter, the thing is We received more tourists, the revenues are only based on the ongoing campaignTourists number difference between Kenya and Tanzania is 3M, lakini revenue difference is only 70B.
If at all we receive the same financial status of tourists then the revenue ya Tanzania should more than double ya Kenya.
almost the same, 70B more your calling almost the same? Your stadium was built on 46B and your calling 70B the same?Obviously cooked. How can Tanzania arrival numbers double ya Kenya but when it comes to revenue we are almost the same.