stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,369
- 33,847
hio hela hana lazima akope, ata ile ya nigeria 80% ni mkopo, Maana ya kufanya joint ni Mabenki yote East africa yamkopesheinternet imeachafuka! Yet Dangote anatoa fedha yake mfukoni!
Btw wazo lake ni zuri, japokua Hub itakua tangainternet imeachafuka! Yet Dangote anatoa fedha yake mfukoni!
hamna kitu kama hicho Uganda refinery ipo U/C! Hiyo pipeline ya Kenya ni kwa ajili ya ku-supply Kenya yaani distribution across Kenya! unless iwe extended beyond borders! na sidhani kama Uganda itakuwa tayari kwa hilo wakati yenyewe inajenga refinery yake with 60,000 barrels per day! Refinery hiyo ya Tanga ni sababu itakuwa karibu na Mombasa ambapo kenya pipeline inaanzia na pia kwa ajili ya ku-supply refined fuel overseas! na usisahau kuna uwezekano wa mafuta kugundulika Tanzania, kwahiyo kutegea prospects!Btw wazo lake ni zuri, japokua Hub itakua tanga
View attachment 3578225
kenya will sell oil to all countries in the north kama watakua sharp watapiga pipe kwenda kenya
Uganda the same washanunua Kenya pipeline, wayauza mafuta kwenda kote mpaka chad kule, sudan
Wazo ni zuri sana and it will ensure reserve za hela zinabaki stable since unalipia na local currency yako tu, overall this is a nice idea and it will revolutionize how OIL in 5 years itakua ni unapiga pipe kutoka ethiopia kwenda djibouti
nae djibouti anapiga pipe kwenda eritrea hilo wazo ni zuri sana
ikiwa executed vizuri Tanga italindwa sana ehehehe AU yote itaweka macho pale
sidhan kama Uganda watajenga refinery, its a loss making program kama unajiuzia mafuta kama ni kuuza mafuta to huge scale apo sawa, BTW kenya walikuaga na refinery waliifunga wenyewe!hamna kitu kama hicho Uganda refinery ipo U/C! Hiyo pipeline ya Kenya ni kwa ajili ya ku-supply Kenya yaani distribution across Kenya! unless iwe extended beyond borders! na sidhani kama Uganda itakuwa tayari kwa hilo wakati yenyewe inajenga refinery yake with 60,000 barrels per day! Refinery hiyo ya Tanga ni sababu itakuwa karibu na Mombasa ambapo kenya pipeline inaanzia na pia kwa ajili ya ku-supply refined fuel overseas! na usisahau kuna uwezekano wa mafuta kugundulika Tanzania, kwahiyo kutegea prospects!
watajenga tena at advanced stage! google!!sidhan kama Uganda watajenga refinery, its a loss making program kama unajiuzia mafuta kama ni kuuza mafuta to huge scale apo sawa, BTW kenya walikuaga na refinery waliifunga wenyewe!
Idea ya tanga makes more sense because nchi inaweza kuja kununua mafuta straight Tanga port, Kule uganda sasa atamuuzia nan COngo nae kagundua mafuta
Tabora (Toronto) anaebisha sukuma ndan
View attachment 3577148