Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vilio ni vingi sana

View: https://x.com/diana_wanjikuu/status/2047343500857942084?s=20

Kwahio POrt ya mombasa itakua inasafirisha nn sasa? cargo SGR tanzania

wanatoa povu kule twitter! Tanga is strategic yaani kutoka pale Chongoleani mpaka Mombasa a refined oil pipeline of only 120 km is needed! Then kwa vile Museveni kanunua Kenya pipeline! Vitu ni mwaah refined oil Mpaka Eldoret inafika! kingine kuna uwezekano mafuta yakagundulika around Tanzania!

View: https://x.com/AfricaViewFacts/status/2047326003916058951
 
Watalii mara nyingi wanatumia emu.
Tunaweza introduce emu moja ya dar - Moro kama mbadala na zile locomotives zikawa za dom- dar.
Dodoma improve kuwa na abiria wengi sana kuliko kiwango
Au morogoro watumie zile double decker
1776963819264.png
 
wanatoa povu kule twitter! Tanga is strategic yaani kutoka pale Chongoleani mpaka Mombasa a refined oil pipeline of only 120 km is needed! Then kwa vile Museveni kanunua Kenya pipeline! Vitu ni mwaah refined oil Mpaka Eldoret inafika! kingine kuna uwezekano mafuta yakagundulika around Tanzania!

View: https://x.com/AfricaViewFacts/status/2047326003916058951

Kama kenya pipeline yenyewe imeuzwa sidhan kama watajenga pipe, yaani walivo maskini ni mwendo wa isuzu kuja kuchukua mafuta
 
this is Gen Muhozi around Hoima skybox, now i challenge Teargass to show us a pic of talanta skybox 🤣 🤣
1776965080003.png


1776965128459.png



kuna watu skybox zao zina nguzo

1776965252393.png
 
Back
Top Bottom