stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 19,641
- 15,539
Sasa unalazimisha ziwe affordable houses wakati they are not? Hebu leta evidence kwamba Kuna affordable housing project in EastleighKaka usipost affordable houses mkuu. 😂😂😂 tofauti ya hizi picha na zile za awali ni make up tu.
sasa unaturingishia na daraja la Galana Kulalu? 200m? Hivi unajua kuna madaraja mangapi ya size hiyo yanajengwa Tanzania?
😀 Ati Colonial style. All buildings above 30 floors in Nairobi were built in recent History. Tena architectures ni wakenya.Very few. Most of building in Nairobi ni colonial Style
Kenyatta International Convention Centre (KICC) built 1974 under british mind set😀 Ati Colonial style. All buildings above 30 floors in Nairobi were built in recent History. Tena architectures ni wakenya.
Iisitoshe ukitaka kuona interchange lazima uende Dar..ndio utapata ..huku kwetu sehemu zenye zimekauka kama kitui kuna interchange...There's a country with only one 3-, level interchange nchi nzima.
Nairobi alone has almost 10 of them, Mombasa has 1.
View attachment 3568846
Kama gorofa hazina viwango hizo ni nini kama si affordable.?Sasa unalazimisha ziwe affordable houses wakati they are not? Hebu leta evidence kwamba Kuna affordable housing project in Eastleigh
No wonder ni buildings mbaya.😀 Ati Colonial style. All buildings above 30 floors in Nairobi were built in recent History. Tena architectures ni wakenya.