Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndugu NairobiWalker nimekueleza kuwa hizo ni taarifa zangu binafsi. Kama wewe unaona heri kuweka taarifa zako hapa basi ni heri kwako. Mimi nina uhuru wangu na wewe upo na wako. Lakini ukweli tumeona wote kuwa umeshindwa kulipia $20 kwa mwezi
Bro, sio lazima mtu alipie Chat GPT. Our lives don't revolve around Chat GPT. Kama unaona kulipia Chat GPT ni kitu cha maana sana tuonyeshe yako uliyolipia ama ukimye. Yani wewe ni kama ukitembea mtaana ununue karanga nami nisinunue basi utajiona tajiri kunishinda. Ndio maana nakwambia huna akili na huna exposure. Haikosi mambo ya mtandao umeyaanza juzi.
 
Jibu swali upo tayari kuogopa?
Hivi wewe una miaka mingapi? Anyway wacha nikuignore. You're irredeemably stupid. Nimeona arguing with you can literally drop my IQ points. Nitajibu mtu wa maana akijoin mjadala. For now, you're in my ignore list. 🤣 🤣
Screenshot 2026-03-31 154108.png
 
Back
Top Bottom