Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kupost screenshot ya chat GPT ndio unaita personal life? Enyewe wewe ni ng'ombe. I think I actually gave you more credit than you deserve — and honestly, I didn’t rate you that highly to begin with.
Sasa hiyo screeshot si ni ya account yangu? Account ya Chatgpt ni personal issue NairobiWalker au hujui?
Tanzania tupo na sheria ya Taarifa binafsi.
 
Kutaja shule tano tu na vyuo viwili umeshindwa mpaka unanitusi na kunisema sina akili? Nimeumia sana. Ukiniuliza mimi hapa tanzania nakutajia kila kitu.
Siwezi jibizana na vitu vya upuzi. Rudi nyuma kwa huu uzi tumediscuss shule sana. Unarukaruka kama mwendawazimu ukitegemea tukufuate nyuma wee kipii?
 
Siwezi jibizana na vitu vya upuzi. Rudi nyuma kwa huu uzi tumediscuss shule sana. Unarukaruka kama mwendawazimu ukitegemea tukufuate nyuma wee kipii?
Shule tano tu na vyuo viwili kuvitaja imekufanya uwe na hasira hivi. Samahani sana ndugu NairobiWalker sitakuuliza tena kuhusu serikali ya kenya kujenga shule maana unaumia ukiona swali hilo.
 
Ngoja nikupatie elimu bure.

Unatakiwa kusema Tuoneshe siyo tuonyeshe

Neno tuoneshe limetokana na neno ona
Neno tuonyeshe limetokana na neno Onya

Sasa hutaki kusemwa?
Sawa mwalimu wa shule ya msingi. Sasa tuoNYEshe ChatGPT yako yenye umelipia tuone kama italeta tofauti na yangu yenye sijalipia. 😆😆
 
Sawa mwalimu wa shule ya msingi. Sasa tuoNYEshe ChatGPT yako yenye umelipia tuone kama italeta tofauti na yangu yenye sijalipia. 😆😆
Ndugu NairobiWalker nimekueleza kuwa hizo ni taarifa zangu binafsi. Kama wewe unaona heri kuweka taarifa zako hapa basi ni heri kwako. Mimi nina uhuru wangu na wewe upo na wako. Lakini ukweli tumeona wote kuwa umeshindwa kulipia $20 kwa mwezi
 
Ndugu NairobiWalker nimekueleza kuwa hizo ni taarifa zangu binafsi. Kama wewe unaona heri kuweka taarifa zako hapa basi ni heri kwako. Mimi nina uhuru wangu na wewe upo na wako. Lakini ukweli tumeona wote kuwa umeshindwa kulipia $20 kwa mwezi
Bro, sio lazima mtu alipie Chat GPT. Our lives don't revolve around Chat GPT. Kama unaona kulipia Chat GPT ni kitu cha maana sana tuonyeshe yako uliyolipia ama ukimye. Yani wewe ni kama ukitembea mtaana ununue karanga nami nisinunue basi utajiona tajiri kunishinda. Ndio maana nakwambia huna akili na huna exposure. Haikosi mambo ya mtandao umeyaanza juzi.
 
Back
Top Bottom