President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,760
- 89,785
Kila mtu anajua elimu ya kenya basic on colonia script. So sikulaumu wewe namlaumu KenyattaHivyo ndivyo ulifundishwa Saint Kayumba community primary school?
Kila mtu anajua elimu ya kenya basic on colonia script. So sikulaumu wewe namlaumu KenyattaHivyo ndivyo ulifundishwa Saint Kayumba community primary school?
Tuonyeshe kwa yako yenye umelipia. Wewe ni mtu ambaye kwa lugha ya kimombo tunaita wannabe. A few posts ago ulikuwa unajiita dollar millionaire, saahii unatamba ati umelipa $20 za chat GPT as if it is an achievement na tukikuambia upost haupost. 🤣 🤣Umeshindwa kulipia Chatgpt just $20 USD per month, na bado unanguvu ya kuongelea masuala ya pesa hapa. Hakika wakenya hamna aibu.
Kama $20 ya Chat GPT amekuwa akiimba for a week na hatoi receipt unategemea nini? 🤣 🤣The guy is mentioning a million dollars so casually he forgets there are only 2,000 such people in Tanganyika as a whole!
$20 USD per month imekushinda tukiongea mambo ya maana utaelewa kweli?Mbona sasa unaongelea hela zenye huna? Utajuaje mambo ya dola millionaires kama wewe sio mmoja wao? 🤣 🤣
Wewe umelipia? 🤣 🤣$20 USD per month imekushinda tukiongea mambo ya maana utaelewa kweli?
Hiyo lugha nani alikufundisha? Kama hujui kiswalihili andika Kikikuyu. Maana tunajua English hujuiTuonyeshe kwa yako yenye umelipia. Wewe ni mtu ambaye kwa lugha ya kimombo tunaita wannabe. A few posts ago ulikuwa unajiita dollar millionaire, saahii unatamba ati umelipa $20 za chat GPT as if it is an achievement na tukikuambia upost haupost. 🤣 🤣
Nimelipia miaka 3 mdogo wanguWewe umelipia? 🤣 🤣
Interestingly Kenya pekee ndio imebadilisha form of education kabisa from what mkoloni alituachia. Tulienda 8-4-4 saahii tuko CBC. Nyinyi bado mko tu pale pale O levels na A levels za mkoloni na bado unapata nguvu za kuongelea elimu. 🤣 🤣Kila mtu anajua elimu ya kenya basic on colonia script. So sikulaumu wewe namlaumu Kenyatta
Unahepa mada?🤣🤣Hiyo lugha nani alikufundisha? Kama hujui kiswalihili andika Kikikuyu. Maana tunajua English hujui
Haya tuonyeshe. 😆 😆Nimelipia miaka 3 mdogo wangu
Nikikumbuka Serikali ya Kenya haijawahi kujenga shule yoyote. Also mmebadilisha classes lakini mnafundisha ujinga ule ule wa Malkia ElizabethInterestingly Kenya pekee ndio imebadilisha form of education kabisa from what mkoloni alituachia. Tulienda 8-4-4 saahii tuko CBC. Nyinyi bado mko tu pale pale O levels na A levels za mkoloni na bado unapata nguvu za kuongelea elimu. 🤣 🤣
Give us data from reliable sources. Not from tomato sauce
Sasa hutaki kusemwa ukikosea? Jifunze kiswahili sanifu.Unahepa mada?🤣🤣
That's my personal life bwana NairobiWalkerHaya tuonyeshe. 😆 😆
Usiniambie ulibadilisha accountMbeya is growing so fast
View attachment 3564925
Si mko desperate as fvck! Eti serikali ya Kenya haijafanya nini?😂😂Nikikumbuka Serikali ya Kenya haijawahi kujenga shule yoyote. Also mmebadilisha classes lakini mnafundisha ujinga ule ule wa Malkia Elizabeth
Report ya mwaka 2,000 nadhani wewe ulikuwa hujazaliwa. Asante kwa kutukumbusha tulikotokaGive us data from reliable sources. Not from tomato sauce
View attachment 3565066
Hii ndio tunaita lack of exposure. No wonder unadhani dollar millionaires hawana cha kufanya Nairobi wakati Nairobi has the 3rd highest number of dollar millionaires in Sub Saharan Africa.Nikikumbuka Serikali ya Kenya haijawahi kujenga shule yoyote. Also mmebadilisha classes lakini mnafundisha ujinga ule ule wa Malkia Elizabeth
Taja shule tano na vyuo viwili vilijengwa na kenya. Kila mtu anajua shule zote kenya zimeachwa na wakoloni.Si mko desperate as fvck! Eti serikali ya Kenya haijafanya nini?😂😂
NairobiWalker naona unahasira ukiambiwa ukweli. Ukweli unauma nalijua hiloHii ndio tunaita lack of exposure. No wonder unadhani dollar millionaires hawana cha kufanya Nairobi wakati Nairobi has the 3rd highest number of dollar millionaires in Sub Saharan Africa.