apa hakuna kitu,kuja uone mall za maana huku
apa hakuna kitu,kuja uone mall za maana huku
Shopping mall za kenya ni colonial design. Everyone knows thisapa hakuna kitu,kuja uone mall za maana huku
Kisumu port expansion to align with the construction of SGR the same way they did with Nairobi ICD and Mombasa Port.
View: https://x.com/i/status/2037466941871259871
Kisumu port expansion to align with the construction of SGR the same way they did with Nairobi ICD and Mombasa Port.
View: https://x.com/i/status/2037466941871259871
Kisumu port expansion to align with the construction of SGR the same way they did with Nairobi ICD and Mombasa Port.
View: https://x.com/i/status/2037466941871259871
Hapo Kisumu mi sioni ujenzi wa gati naona ujenzi wa sakafu tena wa kijuakali!Bandari ya Dar es Salaam
Bandari Mpya ya Bagamoyo
- Mradi wa kujenga magati 10 mapya
- Ujenzi wa Magati 1 na 2 - urefu wa mita 500
- Mradi wa Matenki ya Mafuta (Kigamboni)
- Kurasini Logistics Terminal
Ziwa Victoria
- Ujenzi wa gati lenye urefu wa kilomita 1.32 kwa ajili ya meli kubwa za kisasa (Mega-max ships).
Ziwa Tanganyika
- Ukarabati wa Bandari ya Kemondo
- Ukarabati wa Bandari ya Bukoba
- Uboreshaji wa Bandari ya Mwanza North
- Maboresho ya Bandari ya Mwanza South.
Ziwa Nyasa
- Upanuzi na uboreshaji wa Bandari ya Kigoma
- Uboreshaji wa Bandari ya Kasanga
- Bandari ya Kabwe
- Bandari ya Karema
Bandari ya Tanga: Mradi wa kuongeza kina na ujenzi wa magati mapya ili kuruhusu meli kubwa kufunga moja kwa moja (badala ya kutumia matishari).
- Ujenzi wa Bandari ya Mbamba Bay
- Maboresho ya Bandari ya Itungi
- Maboresho ya Bandari ya Kiura
Bandari ya Mtwara: Ujenzi wa gati namba 2 na maboresho ya uwanja wa kuhifadhia mizigo (yard) kwa ajili ya kuhudumia sekta ya gesi na makaa ya mawe.
Bandari Ndogondogo: Maboresho katika bandari za Kilwa Masoko, Lindi, Mafia, na Pangani.
Hii ndiyo third city yenu. Duh!! hatari imechakaa sanaNakuru city.
After the completion of the elevated expressway hii view itakua hatari zaidii.
View attachment 3563648
Hakuna cha Excuses, ukweli Kenya na Uganda mnazingua sana. Your countries are so poorExcuses za kuipeleka Algeria.
Hawa CAF tangu wafutilie mbali ushindi wa Senegal nmewadharau Sana.
Wanaweza Baki na hizi tournament zao za ujinga Northern Africa yao.
🤣 🤣 🤣 Uzuri yule jamaa wa ivory coast aliwaambia mapemaExcuses za kuipeleka Algeria.
Hawa CAF tangu wafutilie mbali ushindi wa Senegal nmewadharau Sana.
Wanaweza Baki na hizi tournament zao za ujinga Northern Africa yao.