Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu tueleze kivipi? Hujajua regional politics kama Nairobi bado ina-claim kuwa na room capacity kubwa kuliko Zanzibar! What makes u believe hicho unachosoma?
nilishaenda pale, nasemea kwa uzuri, pia ni ndogo! when you compare it to JKIA, in terms of arrangement basi JKIA looks like a slum 🤣 🤣 🤣 , pia ndege za rwanda they are also small but well maintained
 
Huko kwenu waliuawa elfu kumi sii sad lakini ya huku kwetu sita pekee yanakuhuzunisha. Wavumbistan na unafiki.
hio ni made up number, no one has that evidence however sisi we are more socialists than what kenya claims to be most democratic or katiba bora, everything thats happening now is an insult to all the claims
 
Hii PPP ikifanyika Kenya mnasema ni mali ya Mchina. Kumbe mnamezea mate. 🤣 🤣 🤣
Nyani haoni Kundule

I could as well do this but, I don't have the time to be an idiot
1000016826.jpg
1000016827.jpg
1000016829.jpg
 
We huna akili. Nani amesema ya kwetu si sad. Unadhani ninafurahi watu kuuawa?
Unajitengenezea imaginary arguments kama fala
Ukipandwa na hasira hivi huwa najua mwiba nimeuchoma penyewe. Mauaji ya kwenu hayajawai tokea eneo hili la Kenya Uganda na Tanzania ila sijawai kuona ukiyaongelea. Leo hii unajifanya uko na humanity sana uyaongelee ya Kenya ya watu sita pekee? Wacha unafiki. Serikali yenu ilivyo ya kidikteta hao ni watu wanaoliwa kila siku hapo kwenu sama hamna aliye na ujasiri wa kuyaongelea asije akapotezwa.
 
Ukipandwa na hasira hivi huwa najua mwiba nimeuchoma penyewe. Mauaji ya kwenu hayajawai tokea eneo hili la Kenya Uganda na Tanzania ila sijawai kuona ukiyaongelea. Leo hii unajifanya uko na humanity sana uyaongelee ya Kenya ya watu sita pekee? Wacha unafiki. Serikali yenu ilivyo ya kidikteta hao ni watu wanaoliwa kila siku hapo kwenu sama hamna aliye na ujasiri wa kuyaongelea asije akapotezwa.
Mauaji ya Tanzania nimeongelea mara nyingi sana, na sijaacha kuongelea hadi leo.
Wewe huna akili, unadhani unaweza kuona kila comment nianayoandika humu JF as if utaweza kupitia JF nzima

Hiyo story ya Laikipia University ni sad coz the people affected are young and I can relate. Kuanzia reason ya protest hadi how it turned out ni sad
Mbona nyie Kenya watu wengi walifeel sad juu ya mauaji ya October 29 Tanzania, kwa nini sisi tuki feel sad wanafunzi kupigwa risasi Kenya unaumia? Au na wakenya walikuwa wanafiki?
 
Another Expressway loading...

Nairobi-Mombasa Expressway to Become Toll Road Under Ksh389 Billion PPP Project, Treasury Confirms​

Unaropokwa as if Ukunduni mlianzisha toll roads kumbuka Kigamboni bridge was the first project in EA!
 
Hii PPP ikifanyika Kenya mnasema ni mali ya Mchina. Kumbe mnamezea mate. 🤣 🤣 🤣
Tanzania hata Daraja la Kigamboni ni PPP, kati ya serikali na NSSF.

HTa hiyo barabra ya Chalinze kuwa PPP ni mali ya kila mtu, na inajengwa kwa akili, na ndio maana Contractor mwenye bei kubwa amekuwa rejected na inaamza upya.


Kenya NAIROBI expressway, imejengwa maalum kwaajili ya RICH PEOPLE wanaoishi kwenye BANANA Nairobi aka Expressway Neighbourhood, frok JKIA to Uppwerhill, Westland, etc

But, mnalipa makapuku
 
Back
Top Bottom