Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,504
- 103,352
hujaona mass graves nn , hawa wazungu weusi wako finishedIla hii story ya Laikipia University ni so sad.
halafu Afcon wamejiandaa vibaya mno yaani wako mbele kwa infrastructure! natumaini Arusha nao wataongeza push! maana nimeona KIA VIP building inapanuliwa na kuna barabara ya Mkato inajengwa kwenda Arusha kutoka KIA halafu na miradi ya Jiji Arusha! I hope itamalizika kwa wakati! Maana Afcon si mpira tu, watu wanatakiwa wa-spend ili iwe na maana!
sasa unajiandaaa na fees hujalipa 🤣halafu Afcon wamejiandaa vibaya mno yaani wako mbele kwa infrastructure! natumaini Arusha nao wataongeza push! maana nimeona KIA VIP building inapanuliwa na kuna barabara ya Mkato inajengwa kwenda Arusha kutoka KIA halafu na miradi ya Jiji Arusha! I hope itamalizika kwa wakati! Maana Afcon si mpira tu, watu wanatakiwa wa-spend ili iwe na maana!