Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania hata Daraja la Kigamboni ni PPP, kati ya serikali na NSSF.

HTa hiyo barabra ya Chalinze kuwa PPP ni mali ya kila mtu, na inajengwa kwa akili, na ndio maana Contractor mwenye bei kubwa amekuwa rejected na inaamza upya.


Kenya NAIROBI expressway, imejengwa maalum kwaajili ya RICH PEOPLE wanaoishi kwenye BANANA Nairobi aka Expressway Neighbourhood, frok JKIA to Uppwerhill, Westland, etc

But, mnalipa makapuku
Kwa hivo wewe ukilipia daraja la kigamboni unakuwa maskini ila mimi nikilipia expressway nakuwa tajiri? Akili za kibongolala vaane.
 

1774552752395.png


1774552765163.png


1774552775754.png


1774552786417.png
 
🤣🤣🤣
"Ni sisi tulikomboa Sauzi Afirika"


View: https://x.com/i/status/2037029306912653679

Huyo sio Mtanzania.
Hao ni content creators wanao assign any mtu mweusi kwa nchi yeyote ile.
Hakuna pahala kwenye video zote nimeangalia kunareference ya his nationality mpaka baadae huyo content creator alipokuja na huo ujinga nddani ya clip.

Second:
Ameandika kuwa hao watu walimdeport.
Kwa mtu mwenye akili timamu anatambua process za kumdeport mtu ni ndefu na huusicha Police, then home affairs officials, then balozi wa nchi husika kuonana physically na raia husika kabla ya kutoa approval ya raia hao kuwa deported kwenye nchi yake.

Ni process inatake months.
Hili jambo lilitokea yesterday or day before, how wamemdeport na unaona kwenye clip jamaa akiondoka?

Usiwe mjinga.
 
Tukisema sisi tunaambiwa oh mnafuatilia sana habari za Kenya sasa ngoja tuwaachie wa Ghana sasa
 
Back
Top Bottom