stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 19,809
- 15,738
na ndo kwanza zimeanza
Hii ndio road to Singapore? 😂😂😂
Ukabila umekujaa kama nyang'au wengine tu😎Mbona umekerwa?
Hii sio Singapore. Hii ni single+upwiru. What is this 😳
🤣 🤣 🤣 Jameni hawa watu watakufa sasa
View: https://x.com/brenda_ogo30333/status/2029640625419669656?s=20
saahv wanapaita SINK-HAPOHii ndio road to Singapore? 😂😂😂
uku ndo inatokea ila timu ya ndanda?Ndanda village, Mtwara, Tanzania
View attachment 3554435
dada zake Teargass hao 🤣 🤣Teargass Nicxie mwaiofhawaii Chill njooni muone dada zenu
Hawa ndio warembo huko Kenya?
View attachment 3554436
Timu ya Ndanda huwa inatumia uwanja wa Nangwanda Stadium ambao upo Mtwara mjini. Hii Ndanda haipo Mtwara mjini, ipo wilaya ya Masasi lakini nfani ya mkoa wa Mtwarauku ndo inatokea ila timu ya ndanda?
nlikua naikubali sana hio timu sjui iliendaga wapTimu ya Ndanda huwa inatumia uwanja wa Nangwanda Stadium ambao upo Mtwara mjini. Hii Ndanda haipo Mtwara mjini, ipo wilaya ya Masasi lakini nfani ya mkoa wa Mtwara
Japokuwa timu ina jina la Ndanda ila wao wapo Mtwara mjini, sijajua sasa kama hiyo timu originally inatokea huku