stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 19,832
- 15,748
Nimeona wanajigamba wakati hata pale JNIA zilipaki hizo Emirates na Qatar nk na sijaona mtu akijigamba,Imekuwa majigambo ya Wakundustani! Chaaa... Wakundustani kwa misifa! Yaani hamna nchi inayoona cha maana kwa hili ila Ukunduni ipo twitter ikijisifu! Yaani ni aibu!
Imebidi niangalie ni usafiri upi? nimekuta ni mikebe!
View: https://youtu.be/vyvhPCVYneY?si=ldv60PYG9lavmqhD
apo ni fungulia mbwa amna utaratibu na ni bureKwani Likoni hawana utaratibu kama wa Kivukoni yaani ma-gate yanayozuia wanaotoka na kuingia kutokutana?
But hizi haziingii town ni tafauti na zile zenye kunguni mnazotumia kama main transport, hata ivo hizi hazioperate sehem kwenye BRTUzuri hakuna Super Metro hata moja imechakaa hivi ukipata hata moja nitag nifunge hii account. 😂 😂 😂
![]()
![]()
![]()