Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,134
- 17,869
Cha kushangaza ni kwamba anayeongea haya yote ameenda kutembeza bakuli Uchina asaidiwe kufanikisha AFCONtumalizie uwanja wa dodoma na FUMBA, mtu yyuko fifty fity ya nn, ata uganda wanamshinda
Cha kushangaza ni kwamba anayeongea haya yote ameenda kutembeza bakuli Uchina asaidiwe kufanikisha AFCONtumalizie uwanja wa dodoma na FUMBA, mtu yyuko fifty fity ya nn, ata uganda wanamshinda
Kwanza build a deep port like Lamu to attract newly modern larger cargo ships… ama Bagakibogoyo iko ready ?..🤣🤣🤣🤣Nani kakwambia biashara inafanyika kwa kuangalia jiografia ya eneo peke yake? Umeshajiuliza kutoka East Afrika Hadi west Afrika kunafikika vipi na kwa miundombinu gani?
Hali ya usafiri na usalama Hadi kufika hapo unajua ikojee? Kuna namna yoyote ya kufika hapo? Obvious hiyo ni ndoto ambayo kutokea sio Leo Wala kesho! Na it's not economic viable.
Ila huku south and Central tayari miundombinu Iko on place. Barabara na Reli zipo in full operational na some improvements is on going on now.
You know nothing about logistics and global trade.
Bagakibogoyo sounds like Baki kibogoyo. 🤣 🤣Kwanza build a deep port like Lamu to attract newly modern larger cargo ships… ama Bagakibogoyo iko ready ?..🤣🤣🤣🤣
where is that bakuli? 🤣 🤣 🤣 mbna uwanja unaendelea bila bakuli 🤣Cha kushangaza ni kwamba anayeongea haya yote ameenda kutembeza bakuli Uchina asaidiwe kufanikisha AFCON
where is daily dose 🤣🤣Wachawi watalia kweli kweli.
View attachment 3552060View attachment 3552063View attachment 3552064View attachment 3552065
Soon itakua capital of the world pale UN itamaliza kuhamisha baadhi ya ofisi zake muhimu hadi Nairobi. Hapa naona ukilia damu
are you aware mmeshindwa kulipa fees 🤣Cha kushangaza ni kwamba anayeongea haya yote ameenda kutembeza bakuli Uchina asaidiwe kufanikisha AFCON