ivi ile story ya kwamba kuna chips za jero ni kwel? eti chombeza ni sahani nzimaSehemu nzuri sana, maeneo yametulia, hali ya hewa nzuri, ukijani wa kutosha, view ya milima everywhere na maisha ni very affordable
Chakula cha Mbeya kinaweza kulisha Kenya yote maana Kundustan wanateseka sana na njaa 😅
ingekua wale wazungu wangetupa takataka mji mzimaHow a modern city looks like
View attachment 3551875
si unaona walivo weusi kupindukia, maana yake imetoka kwenye DNA
Logistics shows that Port Douala is more closer to the markets of North America and Europe than Angola ( unless your focus is South America). I am sorry the Geography is not on your side .Unadhani ni project rahisi kama kuchoma mtura nini?
Mambo yamesha shift from Dar port to Benguela Port Angola ... TAZARA tayari ipo on place na sasa hivi Iko under heavy maintenance ... Na pia kwenda Matadi Port Congo ambapo DP world tayari wamechukua Bandari na wanaendelea na ujenzi mkubwa.
So from Dar tunajiunga na Lobito corridor from Zambian copper belt to Angola via Ndola... Pia same TAZARA can link us to Congo via Kasama Marshalling. Bado kuna Karema Port in lake Tanganyika... On eastern side kuna construction of SGR line to Congo Via Burundi all the way to Matadi Port.
Hiyo ya kwenu huko ni ndoto ya mchana... Huku central corridor mambo yapo kwenye utekelezaji tayari.
DOnt worry man, are as kenyans have superior trainsLogistics shows that Port Douala is more closer to the markets of North America and Europe than Angola ( unless your focus is South America). I am sorry the Geography is not on your side .
Na governor wa Nairobi anenda kushinda second term!
Hapana sio kweli 😅ivi ile story ya kwamba kuna chips za jero ni kwel? eti chombeza ni sahani nzima
Hii Nairobi ni kama miji ya India tu 🤮🤮
Logistics shows that Port Douala is more closer to the markets of North America and Europe than Angola ( unless your focus is South America). I am sorry the Geography is not on your side .
capital city of africa hio banaHii Nairobi ni kama miji ya India tu 🤮🤮
kwahio za buku tatu zinakuaje tenaHapana sio kweli 😅
Chips zinaanzia buku na huwa ni amount ya kawaida sio ya kushibisha kupita kiasi. Chips za jero wanauza wamama wa mitaani ambazo huwa kidogo hata hivyo, ila ukifananisha na mikoa mingine zinafanana na za buku
Ndani ya jiji sehemu kama Uyole ndio unapata chips nyingi kwa buku za kutosha na kushiba ila maeneo mengi buku unapata kiasi cha wastani
Kuna kampuni ya ghana imeitwa waje kufanya usafi 🤣 🤣Na governor wa Nairobi anenda kushinda second term!
Buku tatu zinakuwa nyingi, ni sawa ni kiwango cha wastani uzidishe kwa tatukwahio za buku tatu zinakuaje tena
Soon itakua capital of the world pale UN itamaliza kuhamisha baadhi ya ofisi zake muhimu hadi Nairobi. Hapa naona ukilia damucapital city of africa hio bana
Ati capital of the world 😂😂Soon itakua capital of the world pale UN itamaliza kuhamisha baadhi ya ofisi zake muhimu hadi Nairobi. Hapa naona ukilia damu
Cha kushangaza ni kwamba anayeongea haya yote ameenda kutembeza bakuli Uchina asaidiwe kufanikisha AFCONtumalizie uwanja wa dodoma na FUMBA, mtu yyuko fifty fity ya nn, ata uganda wanamshinda
Kwanza build a deep port like Lamu to attract newly modern larger cargo ships… ama Bagakibogoyo iko ready ?..🤣🤣🤣🤣Nani kakwambia biashara inafanyika kwa kuangalia jiografia ya eneo peke yake? Umeshajiuliza kutoka East Afrika Hadi west Afrika kunafikika vipi na kwa miundombinu gani?
Hali ya usafiri na usalama Hadi kufika hapo unajua ikojee? Kuna namna yoyote ya kufika hapo? Obvious hiyo ni ndoto ambayo kutokea sio Leo Wala kesho! Na it's not economic viable.
Ila huku south and Central tayari miundombinu Iko on place. Barabara na Reli zipo in full operational na some improvements is on going on now.
You know nothing about logistics and global trade.