Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

How a modern city looks like
 
Sehemu nzuri sana, maeneo yametulia, hali ya hewa nzuri, ukijani wa kutosha, view ya milima everywhere na maisha ni very affordable
Chakula cha Mbeya kinaweza kulisha Kenya yote maana Kundustan wanateseka sana na njaa 😅
ivi ile story ya kwamba kuna chips za jero ni kwel? eti chombeza ni sahani nzima
 
Unadhani ni project rahisi kama kuchoma mtura nini?

Mambo yamesha shift from Dar port to Benguela Port Angola ... TAZARA tayari ipo on place na sasa hivi Iko under heavy maintenance ... Na pia kwenda Matadi Port Congo ambapo DP world tayari wamechukua Bandari na wanaendelea na ujenzi mkubwa.

So from Dar tunajiunga na Lobito corridor from Zambian copper belt to Angola via Ndola... Pia same TAZARA can link us to Congo via Kasama Marshalling. Bado kuna Karema Port in lake Tanganyika... On eastern side kuna construction of SGR line to Congo Via Burundi all the way to Matadi Port.

Hiyo ya kwenu huko ni ndoto ya mchana... Huku central corridor mambo yapo kwenye utekelezaji tayari.
Logistics shows that Port Douala is more closer to the markets of North America and Europe than Angola ( unless your focus is South America). I am sorry the Geography is not on your side .
 
1772549131077.png
 
ivi ile story ya kwamba kuna chips za jero ni kwel? eti chombeza ni sahani nzima
Hapana sio kweli 😅
Chips zinaanzia buku na huwa ni amount ya kawaida sio ya kushibisha kupita kiasi. Chips za jero wanauza wamama wa mitaani ambazo huwa kidogo hata hivyo, ila ukifananisha na mikoa mingine zinafanana na za buku
Ndani ya jiji sehemu kama Uyole ndio unapata chips nyingi kwa buku za kutosha na kushiba ila maeneo mengi buku unapata kiasi cha wastani
 
Logistics shows that Port Douala is more closer to the markets of North America and Europe than Angola ( unless your focus is South America). I am sorry the Geography is not on your side .

Nani kakwambia biashara inafanyika kwa kuangalia jiografia ya eneo peke yake? Umeshajiuliza kutoka East Afrika Hadi west Afrika kunafikika vipi na kwa miundombinu gani?

Hali ya usafiri na usalama Hadi kufika hapo unajua ikojee? Kuna namna yoyote ya kufika hapo? Obvious hiyo ni ndoto ambayo kutokea sio Leo Wala kesho! Na it's not economic viable.

Ila huku south and Central tayari miundombinu Iko on place. Barabara na Reli zipo in full operational na some improvements is on going on now.

You know nothing about logistics and global trade.
 
Hapana sio kweli 😅
Chips zinaanzia buku na huwa ni amount ya kawaida sio ya kushibisha kupita kiasi. Chips za jero wanauza wamama wa mitaani ambazo huwa kidogo hata hivyo, ila ukifananisha na mikoa mingine zinafanana na za buku
Ndani ya jiji sehemu kama Uyole ndio unapata chips nyingi kwa buku za kutosha na kushiba ila maeneo mengi buku unapata kiasi cha wastani
kwahio za buku tatu zinakuaje tena
 
Soon itakua capital of the world pale UN itamaliza kuhamisha baadhi ya ofisi zake muhimu hadi Nairobi. Hapa naona ukilia damu
Ati capital of the world 😂😂
Titles are earned, idiot. Outside New York UN ina offices Geneva na Vienna. Je na hizi cities ni capitals of the world?
 
Nani kakwambia biashara inafanyika kwa kuangalia jiografia ya eneo peke yake? Umeshajiuliza kutoka East Afrika Hadi west Afrika kunafikika vipi na kwa miundombinu gani?

Hali ya usafiri na usalama Hadi kufika hapo unajua ikojee? Kuna namna yoyote ya kufika hapo? Obvious hiyo ni ndoto ambayo kutokea sio Leo Wala kesho! Na it's not economic viable.

Ila huku south and Central tayari miundombinu Iko on place. Barabara na Reli zipo in full operational na some improvements is on going on now.

You know nothing about logistics and global trade.
Kwanza build a deep port like Lamu to attract newly modern larger cargo ships… ama Bagakibogoyo iko ready ?..🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom