Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

supporting singers to choirmaster Ruto!
Kama kuna waimbaji wazuri ni nyinyi
Hebu nikuchunie hii mziki uone kama unakumbukašŸ˜…

SGR- haitagengwa-mali ya mchina- white elephant
Expressway- haitajengwa- mali ya mchina- White elephant
Talanta- haitajengwa - mali ya mchina- white elephant
 
Kama kuna waimbaji wazuri ni nyinyi
Hebu nikuchunie hii mziki uone kama unakumbukašŸ˜…

SGR- haitagengwa-mali ya mchina- white elephant
Expressway- haitajengwa- mali ya mchina- White elephant
Talanta- haitajengwa - mali ya mchina- white elephant
kwani kuna sgr inajengwa huko Ukunduni?
 
Mlivyokuwa mnaponda ujenzi Highway Tunduma-Mbeya kwa Kelele nyingi na kumbe hamna cha maana kilichofanyika Rironi-Mau summit?
Good for you, I don't even know what project that is
If you haven't noticed Maendeleo yenu haitusumbui,

Most of us are not Petty, jealous or propagandized by the ruling party from childhood like you all bcoz our projects and development makes your one party regime look bad
 
Sasa hapo kwa 120% itakuwa tax ypte + loans kulipa madeni 🤣🤣🤣
inakua tax yote ni kulipa madeni alafu unakopa tena kulipa 20% ya deni la ziada 🤣 🤣 , saas we kama nchi 80% ya mapato wanatumia kulipa madeni kuna nn tena apo
 
Good for you, I don't even know what project that is
If you haven't noticed Maendeleo yenu haitusumbui,

Most of us are not Petty, jealous or propagandized by the ruling party from childhood like you all bcoz our projects and development makes your one party regime look bad
Kunjua nafsi tu bana 🤣🤣, si ndo nyie mlikua mnataka kuja kufanya maadamano uku, ulishawahi kuona mtz yoyote anahangaika na issues zenu za kila siku , what does that mean 🤣🤣 YOUR JEALOUS
 
Hii pitch ya wakunya vs wydad kama shamba la mpunga,kunyan hata aibu awaoni!
wydad jana walitaka kugomea mechi wanauliza CAF wameruhusu vp huu uwanja kutumika 🤣🤣, mwingine kasema picha za talanta zimevuja after afcon
 
Kunyan na vitu quality ni chui na paka
🤣 🤣 🤣
1770563841814.png
 
Back
Top Bottom