Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,848
- 103,705
hawa corrupt wa kenya sku hizi hawapo serious, unaibaje ela ndogo ivi, na wananchi wanapenda kuongezewa tax.President fanya ile kitu bana
View: https://x.com/otienowill/status/2016395481484599718?s=20
Ukiwa na Rais anaongelea Parastatals za Tanzania kila siku, usitegemee lolote la maana!