Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hey... Cheka zaidi
Affordable seats 😂
View attachment 3532797
kama utan vile, alafu wakasema temporary seats 🤣 🤣 🤣 🤣

1769078212351.png
 
Economy on Paper, Hunger in the Stomach

WFP Warns of Unprecedented Hunger in 2026, Kenya Named a Top Hotspot​

As the UN World Food Programme projects a staggering 318 million people will face acute hunger globally in 2026, a new report identifies Kenya as a crisis hotspot, with millions of its own citizens threatened by drought, high food prices, and conflict.

ilikua kwenye news jana ITV, nmeipost apa
 
View attachment 3532521

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), tarehe 20 January 2026, amefanya ziara za kikazi kutembelea na kuona maendeleo ya ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa, Kikombo na Mradi wa ujenzi wa Hospitali Kuu ya Kanda ya Jeshi yenye hadhi ya "Ngazi 4" Msalato,jijini Dodoma.


Katika ziara yake hiyo ya kutembelea Miradi hiyo inayotarajiwa kukamilika hivi karibuni, Waziri wa Ulinzi na JKT aliambatana na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Jenerali Salum Othman pamoja na viongozi wengine waandamizi toka Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga na JWTZ.

View attachment 3532522

View attachment 3532523
Hiyo picha hapo juu ndio makao makuu ya jeshi Dodoma?
 
Back
Top Bottom