Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,932
- 27,899
Arusha Stadium hakuna barabara.Dar to dom kuna pure electric train,dar to znz kuna pure catamaran kwa upande wa transportation hamna wa kutufikia
Arusha Stadium hakuna barabara.Dar to dom kuna pure electric train,dar to znz kuna pure catamaran kwa upande wa transportation hamna wa kutufikia
Ni sawa na kusema Talanta hakuna pitch huku inajengwa! Una upuuzi sana mzee! Wacha kuwa desperate kama kipindi cha SGR! Barabara na kituo kikubwa cha mabasi cha kimataifa vinajengwa Arusha! Hebu onyesha kituo chenyu cha mabasi!Arusha Stadium hakuna barabara.
Ni sawa na kusema Talanta hakuna pitch huku najengwa! Una upuuzi sana mzee! Barabara na kituo kikubwa cha mabasi cha kimataifa vinajengwa! Hebu onyesha kituo chenyu cha mabasi!
View: https://youtube.com/shorts/2LmPTFdmNPw?si=U-Ek2QkkLVi5LhIa
The supporting infrastructure, including the access roads (4KM) connecting the stadium to the main road, is scheduled to be completed by July 2026.Ebu tuonyeshe construction progress ya hiyo barabara ya kuenda Arusha mini stadium.
Ulishaisha kwani huo uwanja?Arusha Stadium hakuna barabara.
inaitwa daily dose 🤣 🤣Majamaa wana focus na Viti via Talanta na hata hakuna lami kwenda Samia cow vajayjay stadium… misplaced personal priorities..😁😁
Majamaa wana focus na Viti via Talanta na hata hakuna lami kwenda Samia cow vajayjay stadium… misplaced personal priorities..😁😁
ndan tafadhali 🤣 🤣 🤣
Anhaa hku ni kule Ukunduni walinunua used commuter trains!
View: https://youtu.be/xBFDsQ9PXgw?si=cJITkLV9Io8vfuiM