Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Marioo umemuacha 520Million
1768729579765.png
 
I'm sure huyu alikuwa anaongelea Tanzania 😂😂😂


View: https://x.com/i/status/2012826533384122523

Sio Ukunduni? Tupe sababu kwann Ukunduni mmeweka viwanja vyote Nairobi? Sisi Zanzibar, Dar es salaam, Dodoma na Arusha kote kunafikika kirahisi kuanzia viwanja vya ndege, modern speed boats mpaka kwa treni mpaka kwa mabasi ya mikoa! tena kwa Dar tuna mpaka BRT!
 
Sio Ukunduni? Tupe sababu kwann Ukunduni mmeweka viwanja vyote Nairobi? Sisi Zanzibar, Dar es salaam, Dodoma na Arusha kote kunafikika kirahisi kuanzia viwanja vya ndege, modern speed boats mpaka kwa treni mpaka kwa mabasi ya mikoa! tena kwa Dar tuna mpaka BRT!
Barabara ya kwenda Samia Stadium ni vumbi. Nishaipita.
 
Sio Ukunduni? Tupe sababu kwann Ukunduni mmeweka viwanja vyote Nairobi? Sisi Zanzibar, Dar es salaam, Dodoma na Arusha kote kunafikika kirahisi kuanzia viwanja vya ndege, modern speed boats mpaka kwa treni mpaka kwa mabasi ya mikoa! tena kwa Dar tuna mpaka BRT!
Kuna barabara ya Arusha Stadium? Mnajenga watu uwanja kwa msitu what do you expect?
 
Back
Top Bottom