Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sisi sio wajinga, unamjua the poorest man on earth?
View attachment 3526825

sasa chagua kati ya uyu na anaekaa kibera alafu tuambie nani anastahili kuitwa poor
Now that he's the world's poorest man and no Tanzania lives in slums, I want to believe that you are richer than him hapo Tandale kwa mfuga mbwa
 
Now that he's the world's poorest man and no Tanzania lives in slums, I want to believe that you are richer than him hapo Tandale kwa mfuga mbwa
according to kenya basi watu wote kibera wako wealthy than him 🤣 🤣 🤣 , wazungu weusi 🤣
 
Now that he's the world's poorest man and no Tanzania lives in slums, I want to believe that you are richer than him hapo Tandale kwa mfuga mbwa
btw unajua kuna mtu yupo burundi na anaishi vizuri kuliko ata wewe 🤣
 
teach who and what? wewe unaweza kumlecture yoyote tanzania kuhusu sports business 🤣🤣🤣 not even sports, just anything that has to do with business, unadhan uku watu wako kwenye poverty kama nyie 🤣
A class 6 pupil in Kenya can clearly lecture you on matters finance. Hapo uko empty vibaya Sana.
 
kwan nimekwambia hio ndo evidence ya hio topic, did you read well were the topic ya hio video started 🤣 🤣 🤣 tunataka tuwaweke where you belong
I asked for evidence ukanipa hiyo video Sasa si unaona wewe ni mjinga tu?

Umeshindwa kujitetea sasa unatapatapa tu na kuleta vitu visivyo husuana na ulichoulizwa
 
These are now kicks of a dying horse. Umeachana na Talanta tena?
1767815158634.png



btw mbna hamjawambia tanzanians kwamba this train hairuhusiwi kuchagua seat 🤣
 
Stop running away from the real discussion here. Umeelewa how bonds works ama bado? Should I give you more teachings?
wewe ni wa kunifundisha mm tena kuhusu bonds? yaani mm nna topic za mpaka kucalculate exchange rates and how they are created unongelea bonds, btw you should be thank full nmekufundisha leo about bonds nlikua nasubiria kuona hao private investors wako wa talanta bond
 
where are the kenyans u said bought talanta bond 🤣🤣
Those institutions kwani ni za Tanzanians? Pension funds holds pesa za akina Nani? Ama siku hizi NSSF ni ya Tanzania na hatujui? Every working Kenyan pays for NSSF.

Funds managers za Kenya kwani zinatumia pesa za watanzania kuwekeza in bonds na hatujui pia?
 
according to kenya basi watu wote kibera wako wealthy than him 🤣 🤣 🤣 , wazungu weusi 🤣
Watu wengi Kibera may not be richer than him but I can bet on my three cents that watu wengi Kibera are richer than you who lives in Tandale and believes he doesn't live in a slum
 
wewe ni wa kunifundisha mm tena kuhusu bonds? yaani mm nna topic za mpaka kucalculate exchange rates and how they are created unongelea bonds, btw you should be thank full nmekufundisha leo about bonds nlikua nasubiria kuona hao private investors wako wa talanta bond
ATI umenifindisha about bonds? The same guy mwenye haelewi how interests za bonds are calculated anaifundishe? Wewe maybe unifundishe ujinga😂😂😂
 
Those institutions kwani ni za Tanzanians? Pension funds holds pesa za akina Nani? Ama siku hizi NSSF ni ya Tanzania na hatujui? Every working Kenyan pays for NSSF.

Funds managers za Kenya kwani zinatumia pesa za watanzania kuwekeza in bonds na hatujui pia?
ushaanza kukimbia mada 🤣 kwan nani hajui kuna NSSF kenya pia na toka lini pension fund wanatoa dividends 🤣🤣 yaani kwa kifupi ulitakiwa uelewe toka mwanzo wakati tunakwambia hio project lazima mlie after AFCON
 
Watu wengi Kibera may not be richer than him but I can bet on my three cents that watu wengi Kibera are richer than you who lives in Tandale and believes he doesn't live in a slum
sasa anakuaje rich than kibera na tayar ni world poorest? umechanganyikiwa?
 
Back
Top Bottom